- 1,239 views
Mamia Ya Wakenya Waliotarajiwa Kusafiri Ughaibuni Kwenye Mradi Wa Serikali Wa Ajira Za Ng'ambo, Sasa Wanadai Kuhadaiwa Na Kulaghaiwa Na Wizara Ya Leba. Wakenya Hawa Wakisema Wamesalia Na Makaratasi Tu Ya Kazi Bila Ajira, Zaidi Ya Miezi Sita Baada Ya Kuahidiwa Kuanza Kazi. Walalamishi Waliofika Bungeni Leo Kueleza Madhila Yao, Sasa Wanataka Serikali Kuwarejeshea Fedha Walizolipa Kutafuta Kazi, Kama Emmanuel Too Anavyoarifu.
Wakenya wanaotafuta kazi ughaibuni wasema walihadaiwa na waziri Alfred Mutua
- 29 Apr 2025 - Nairobi County Women’s League side Halisi Soccer Queens received a significant boost in their pursuit of an impressive season after their affiliation fees of Sh10,000 were paid by Health Aid Assistance International (HAAI). Halisi have started their…
- 29 Apr 2025 - Five killed, scores injured as police, land protestors clash in Trans Mara
- 29 Apr 2025 - Ruto's SGR, road projects with China hailed by Western leaders
- 29 Apr 2025 - How Kenya blocked viewing of BBC's film of police shooting protesters
- 29 Apr 2025 - Mutua's overseas jobs: Senators told how applicants lost millions
- 29 Apr 2025 - Lawmakers' work is to legislate, oversight and represent, period!
- 29 Apr 2025 - Mass livestock vaccination stalls over funding crisis
- 29 Apr 2025 - Why conclave should elect a progressive Pope like Francis
- 29 Apr 2025 - Kihika is an American, petitioner tells court
- 29 Apr 2025 - Mai Mahiu flood victims wait for Ruto's promise, 12 months later