Skip to main content
Skip to main content

Aliyekuwa Rais wa Botswana akosoa ushindi wa Rais Suluhu

  • | Citizen TV
    30,155 views
    Duration: 2:53
    Aliyekuwa Rais wa Botswana Ian Khama ameshutumu kuapishwa kwa Rais wa Tanzania Suluhu Hassan akisema kuwa hatambui kuchaguliwa kwake kwani amejilazimisha kusalia uongozini kwa kuwakandamiza raia wa Tanzania katika uchaguzi ulioshuhudia vifo vya mamia ya watanzania. Khama alikuwa akizungumza katika chuo kikuu cha Lukenya huko Makueni. Huku hayo yakijiri kesi dhidi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu haikuendelea leo mahakamani Tanzania.