Skip to main content
Skip to main content

Hofu yaongezeka Kiunga kufuatia visa vya utekaji nyara

  • | Citizen TV
    2,107 views
    Duration: 2:36
    Wakazi wa kijiji cha Kiunga kaunti ya Lamu wanahofia usalama wao kufuatia misururu ya visa vya utekaji nyara. Wakazi hao ambao walifanya maandamano kulalamikia hali hiyo wanasema kuwa watu waliojifunika nyuso huwavamia na kutoweka na jamaa zao. Wakazi hao wanaitaka idara ya usalama kuwajibika na watu waliotoweka kurejeshwa nyumbani