Skip to main content
Skip to main content

IEBC yaonya dhidi ya ukiukaji wa sheria kabla ya uchaguzi mdogo

  • | Citizen TV
    343 views
    Duration: 2:50
    Tume ya uchaguzi nchini IEBC imeonya dhidi ya ukiukaji wa sheria za uchaguzi kabla, wakati na baada ya uchaguzi mdogo Alhamisi Ijayo katika maeneo mbali mbali nchini. Kamishna wa tume hiyo Mohammed Hassan Nur ambaye alisimamia zoezi la kusambaza vifaa vya kupiga kura, aliwahakikishia wapiga kura na maafisa wa IEBC usalama wao kufuatia mkutano maalum wa tume hiyo na inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja