Skip to main content
Skip to main content

Mtihani wa kidato cha nne KCSE wakamilika huku visa vichache vya udanganyifu vikiripotiwa

  • | KBC Video
    125 views
    Duration: 1:26
    Mtihani wa kidato cha nne -KCSE ulikamilika jana, huku wizara ya elimu ikisema kuwa, visa vya udanganyifu vilipungua ikilinganishwa na mwaka uliopita. Katika taarifa, wizara hiyo imefichua kuwa wanafunzi 418 waliripotiwa kuhusika katika udanganyifu ikilinganishwa na idadi ya wanafunzi 614 mwaka jana. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive