Skip to main content
Skip to main content

Kenya yazidi kung'ara Tokyo, Wandia na Rono washinda dhahabu

  • | Citizen TV
    581 views
    Duration: 1:48
    Timu ya kenya imeongeza medali zake kwenye michezo ya deflympics inayoendelea jijini tokyo hadi 10, ambapo lucas wandia na elikana rono walitetea taji lao kwenye mbio za mita 3000 kuruka viunzi na 800 mtawalia.