Tinubu achaguliwa kuongoza Nigeria, huku wapinzani wakitaka uchaguzi urudiwe

  • | VOA Swahili
    3,523 views
    Bola Tinubu achaguliwa kuwa Rais wa Nigeria, huku wapinzani wakitaka uchaguzi urudiwe #mgombea #urais #raiswanigeria #wapinzani #uchaguzi #bolatinubu #voa #voaswahili #dunianileo Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.