- 336 viewsRais wa Uturuki amegusia kuwa uchaguzi utafanyika Mei 14, 2023 akisalia na mpango wake wa zamani akitaka upigaji kura kufanyika siku hiyo. Ungana na mwandishi wetu akileta maelezo ya zoezi hilo la uchaguzi lenye ishara ya mkanganyiko. Endelea kusikiliza... #rais #uturuki #uchaguzi #mpango #upigajikura #mkanganyiko #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Rais wa Uturuki atoa fununu juu ya kufanyika uchaguzi Mei 14, 2023
- 29 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen says the government will issue an official response to the revelations on Tuesday.
- 28 Apr 2025 - Cardinals under the age of 80 will meet in the Sistine Chapel to choose a new leader for the world's 1.4 billion Catholics, in a mystery-shrouded ritual dating back to the Middle Ages.
- 28 Apr 2025 - In its application, the county government claims Dr. Nyakang’o has refused to approve bursary requisitions, despite a clarification by Justice Samuel Mohochi on April 8. Justice Mohochi had explained that his earlier conservatory orders, issued on…
- 28 Apr 2025 - The announcement, made Monday by the President's Executive Office, is based on recommendations from the Power of Mercy Advisory Committee (POMAC) and is grounded in the constitutional authority granted by Article 133.
- 28 Apr 2025 - President Ruto grants clemency to 56 Kenyans and foreigner serving long custodial sentences.
- 28 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has pledged to hold accountable those responsible for the violence that erupted in Narok County.
- 28 Apr 2025 - A BBC investigation which aimed to identify members of Kenya's security forces who shot dead anti-tax protesters at the country's parliament last June has birthed angry reactions from Kenyans online.
- 28 Apr 2025 - The committee, chaired by Kajiado Senator Lenku Seki, has summoned Labour Cabinet Secretary Alfred Mutua and officials from the National Employment Authority (NEA) to respond to growing concerns about the integrity of the diaspora job placement program.
- 28 Apr 2025 - Mudavadi said that estimates for public engagement activities range between Sh.10 million to Sh.100 million per exercise, depending on the scale and geographical coverage.
- 28 Apr 2025 - President William Ruto has granted pardons and clemency to 57 individuals serving custodial sentences in various prisons across Kenya. In a notification from Head of Public Service Felix Koskey, it was announced that those pardoned on Monday include 56…