Skip to main content
Skip to main content

Miaka mitatu ya Ruto: Waandamanaji bado wanaumia

  • | Citizen TV
    769 views
    Duration: 3:18
    Waathiriwa wa maandamano dhidi ya mswada wa fedha mwaka uliopita pamoja na maandamano ya sabasaba, bado wameathirika pakubwa kufuatia majeraha waliopata na makovu waliosalia nayo. Baadhi yao bado wanahofia usalama wao huku wakiendelea kupokea matibabu na ushauri nasaha nyumbani.