- 39 views
Kiongozi wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga amekosoa ubomozi wa nyumba zilizojengwa kwenye ardhi ya serikali katika eneo la Milimani, kaunti ya Kakamega ili kutoa fursa ya ujenzi wa nyunba za gharama nafuu. Raila anadai mradi huo umeghubikwa na usiri mkubwa kwani hakukuwa na vikao vya ushirikishi wa umma kabla ya uzinduzi wake na hivyo unapaswa kusitishwa kwa kuzingatia uamuzi wa mahakama uliosema kwamba ushuru wa nyumba unakiuka katoiba. Odinga anasisitza kwamba mapendekezo mengi ya ripoti ya kamati ya kitaifa ya mashauriano yanaweza kuafikia tu kupitia kura ya maamuzi, msimamo unaopingwa vikali na mrengo wa Kenya Kwanza.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Raila akosoa ubomozi wa nyumba Kakamega
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - The exercise was thrown into disarray for hours after the former Mathira MP suddenly fell ill.
- 18 Oct 2024 - The bald truth: Of Millie's candid and shocking take on women's challenges and choices in Parliament, and the wig that hides Kenya's struggle
- 18 Oct 2024 - The Kenya women’s U17 Soccer team,Junior Starlets went down 0-2 to England in their opening group C match of the ongoing FIFA U17 Women’s World Cup in Dominican Republic. England eager to stamp their authority in the game, controlled proceedings from…
- 18 Oct 2024 - The Senate has resolved to impeach Deputy President Rigathi Gachagua following a two-day exercise that entailed volumes of evidence and hours of cross-examination.
- 18 Oct 2024 - Nominated Senator Karen Nyamu has now shifted some semblance of blame to President William Ruto for choosing Rigathi Gachagua as his preferred deputy in the run-up to the 2022 elections.
- 18 Oct 2024 - Prof Kindiki’s bid has been strengthened by the recent opinion polls by Infotrak and Tifa.
- 18 Oct 2024 - The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…
- 18 Oct 2024 - The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…
- 18 Oct 2024 - Hospitalised but impeached; Gachagua sent home as Senate seals fate in dramatic ouster
- 18 Oct 2024 - The Ministry of Health has announced one more confirmed case of Mpox in the country, taking the total number of cases recorded so far to 14.