- 76 viewsFebruari 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mojawapo ya nchi zenye idadi kubwa ya lugha za asili duniani ikiwa na makabila 450. Wataalamu wanasema kuwa baadhi ya koo hupoteza lugha zao za asili kwa sababu na mchanganyiko wa makabila au asili. Shirika la Syndicat d'entraide Chrétienne (Muungano wa misaada ya Kikristo) linawahimiza Wacongo kutumia lugha zao za asili huku ikiiomba serikali ya DRC pia kutumia lugha zake nne za kitaifa katika sekta ya elimu. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wataalamu wasema lugha za asili Congo zinapotea kutoka na mchamganyiko wa makabila.
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - TikTok and Facebook approved advertisements containing blatant US election falsehoods just weeks ahead of the vote, a watchdog investigation revealed Thursday, calling into question the tech platforms' policies to detect harmful disinformation.
- 18 Oct 2024 - Senate Speaker Amason Kingi has gazetted the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua, consequently formalizing the removal of the country's second in command from office
- 18 Oct 2024 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Thursday he had intelligence reports that North Korea was training 10,000 soldiers to support Russia in its fight against Kyiv.
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Inaugural KPSEA, KCSE exams to start as schools close for holiday
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?
- 18 Oct 2024 - Gachagua's tribulations can be traced back to the Constitution
- 18 Oct 2024 - Fifty-three out of 66 senators endorsed the first charge related to Gachaguas controversial shareholding remarks.
- 18 Oct 2024 - Children as young as 10 can soon be jailed once again in Australia's Northern Territory (NT), after the government there lowered the age of criminal responsibility. Australian states and territories have been under pressure to raise it, from 10 to 14,…