- 513 views
Familia iliopoteza mtoto wao, baada ya kutumbukia kwenye shimo la maji taka huko Bamburi kaunti ya Mombasa inalilia haki ikitaka mjenzi wa jumba lililosababisha mauti achukuliwe hatua. Inaarifiwa kuwa mtoto huyo Ian Komen mwenye umri wa miaka miwili na nusu alikuwa akicheza na wenzake kabla ya kutumbukia kwenye shimo hilo. Familia na majirani wamelalamika kuwa maisha na ndoto ya mtoto huyo imekatizwa kutokana na uzembe wa mjenzi wa jumba hilo.
Mtoto wa miaka miwili atumbukia ndani ya shimo la taka na kufariki huko Bamburi, Mombasa
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - Kibra's Gen Z game-changer using her voice to challenge cultural stereotypes and empower her community
- - Have you become this heartless, Mr President? Cleophas Malala
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?
- 18 Oct 2024 - Gachagua's tribulations can be traced back to the Constitution
- 18 Oct 2024 - Fifty-three out of 66 senators endorsed the first charge related to Gachaguas controversial shareholding remarks.
- 18 Oct 2024 - Fifty-three out of 66 senators endorsed the first charge related to Gachaguas controversial shareholding remarks.
- 18 Oct 2024 - The exercise was thrown into disarray for hours after the former Mathira MP suddenly fell ill.
- 18 Oct 2024 - The bald truth: Of Millie's candid and shocking take on women's challenges and choices in Parliament, and the wig that hides Kenya's struggle