- 217 views
Viongozi wa muungano wa Azimio wamekashifu vikali tume ya kupambana na ufisadi kwa kile wanachodai ni vitisho kutoka kwa serikali ambayo inatumia kesi za ufisadi kuzima upinzani. Viongozi hao wanashikilia kuwa hawatatishwa katika majukumu yao na kuwa watazidi kutetea wakenya. Haya yanajiri siku chache tu baada ya afisi ya mkurungezi wa mashtaka ya umma, ODPP, kuamuru aliyekuwa gavana wa murang’a mwangi wa iria na wengine saba kufunguliwa mashtaka baada ya kukiuka sheria ya ununuzi kati ya mwaka wa 2014 na 2016 alipokuwa gavana.
Viongozi wa Azimio waitaka serikali iangazie mahangaiko ya wakenya
- 18 Oct 2024 - TikTok and Facebook approved advertisements containing blatant US election falsehoods just weeks ahead of the vote, a watchdog investigation revealed Thursday, calling into question the tech platforms' policies to detect harmful disinformation.
- 18 Oct 2024 - Senate Speaker Amason Kingi has gazetted the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua, consequently formalizing the removal of the country's second in command from office
- 18 Oct 2024 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Thursday he had intelligence reports that North Korea was training 10,000 soldiers to support Russia in its fight against Kyiv.
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - The Government, through the State Department of Mining, has launched a major crackdown on illegal mining activities in Kilifi County and across other regions in a bid to curb revenue loss from unregulated operations. The operation, led by Principal…
- 18 Oct 2024 - The deputy president was impeached after a majority of senators voted to kick him out.
- 18 Oct 2024 - Kuria made the sentiments minutes after Rigathi was impeached.
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Inaugural KPSEA, KCSE exams to start as schools close for holiday
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?