- 547 viewsJarida la Wikiendi linaangazia mgogoro wa kidiploamsia kati ya Somalia na Ethiopia kuhusiana na mikataba na ushirikiano kati ya Ethiopia na Somaliland pamoja na jimbo la Puntland. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Mgogoro wa kidiplomasia watishia usalama katika Pembe ya Afrika | VOA Swahili
- - Duniani Leo ››
- 14 Mar 2025 - Bribery allegations have rocked the Machakos County Assembly after the majority's appointment committee approved Annastacia Munyaka's nomination as CEC for Water and Sanitation.
- 14 Mar 2025 - Police in Muhoroni Sub-county, Kisumu County are investigating the brutal murder of a 17-year-old female Form Four student whose decomposing body was found dumped in a sugarcane plantation in Migingo area.
- 14 Mar 2025 - U.S. President Donald Trump on Thursday threatened to slap a 200% tariff on wine, cognac and other alcohol imports from Europe, opening a new front in a global trade war that has roiled financial markets and raised recession fears.
- 14 Mar 2025 - Twelve people have been confirmed dead following a tragic road accident at Migaa area on the Nakuru-Eldoret Highway.
- 14 Mar 2025 - A British jury on Thursday convicted a United Nations judge of forcing a young woman to work as a slave after tricking her into coming to the U.K.
- 14 Mar 2025 - At least 13 people killed in a road accident involving a trailer and a PSV at Migaa on the Eldoret-Nakuru Highway, Police spokesperson Muchiri Nyaga confirms.
- 14 Mar 2025 - Kenyan politics is a paradox, opposition in government, government in opposition! In this unique setup, power isn’t just contested at the ballot box but also in boardrooms, backchannels, and public rallies. But the real intrigue? The aftermath of the…
- 14 Mar 2025 - The announcement comes amidst ongoing KCSE registration
- 14 Mar 2025 - President Vladimir Putin said on Thursday that Russia agreed with U.S. proposals for a ceasefire in Ukraine but that any ceasefire would have to deal with the root causes of the conflict and that many details needed to be sorted out.
- 14 Mar 2025 - Wetang'ula dismissed criticism directed at leaders working with the government, emphasizing the importance of setting aside selfish interest for national service.