- 1,742 views
Kiongozi wa zamani wa Mungiki Maina Njenga pamoja na wazee wa baraza la wazee la jamii ya Agikuyu wametoa msaada wa vyakula na mavazi kwa waathiriwa wa mafuriko eneo la Maai Mahiu kaunti ya Nakuru. Viongozi hao wameunga mkono wito wa serikali wa kuwataka wale wanaoishi kwenye mabonde na mikondo ya maji kuhamia maeneo ya juu. akizungumza katika eneo hilo, Maina alieleza kuwa janga la mafuriko lililouwa watu zaidi ya 50 Maai Mahiu ndilo kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini. aidha ameitaka serikali kuharakisha shughuli za kuwatafutia makao waathiriwa.
Maina Njenga atoa msaada kwa waathiriwa Maai Mahiu
- 28 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua's allies have attributed his tribulations in government to what they describe as coordinated efforts to undermine his office.
- 28 Sep 2024 - The journey ahead demands a closer look at both the triumphs and the gaps that remain.
- 28 Sep 2024 - The implementation of the Social Health Insurance Fund (SHIF) is in complete disarray as members of the public infiltrated virtual training sessions meant for public health officials across the country regarding the registration and use of the new…
- 28 Sep 2024 - The Law Society of Kenya (LSK) has filed a contempt of court application against Inspector General of Police Douglas Kanja.
- 28 Sep 2024 - New scheme risks merely shifting financial burdens without improvements in healthcare quality.
- 28 Sep 2024 - The web of firms taking over your healthcare
- 28 Sep 2024 - Angry Kenyans raise concerns over rollout of new health scheme
- 28 Sep 2024 - Doctors want Nairobi Hospital board audited, shown the door
- 28 Sep 2024 - Confusion as top officials snub SHA digital demonstration event
- 28 Sep 2024 - NG-CDF's fate sealed, time legislators kissed the fund goodbye