Skip to main content
Skip to main content

Wenyeji wa mtaa wa Milimani wapinga manispaa kujumuishwa katika manispaa ya Maralal

  • | Citizen TV
    353 views
    Duration: 3:13
    Wakazi wa Milimani viungani mwa mji wa Maralal Kaunti ya Samburu,wameandamana kupinga kujumuishwa kwao chini ya manispaa ya mji wa Maralal,wakisema hawakuhusishwa kabla ya hatua hiyo kutekelezwa. Sasa wanashinikiza uamuzi huo kubatilishwa.