Skip to main content
Skip to main content

Baraza la Magavana lapinga taarifa za vifo vya watoto 136 katika hospitali za kaunti ya Kiambu

  • | KTN News
    1,502 views
    Duration: 2:21
    Mwenyekiti wa baraza la magavana amerai chama cha madaktari na matabibu wa meno KMPDU pamoja na wizara ya afya kutohusisha masuala ya afya na siasa. Haya yamejiri baada ya baraza hilo kufanya uchaguzi wa viongozi watakaoongoza baraza hilo kwa mwaka mmoja ujao. Gavana wa Wajir Ahmed Abdullahi, na mwenzi wake wa Nyeri Mutahi Kahiga watasalia kuwa mwenyekiti na naibu wake huku gavana wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki akichukua wadhifa wa kiranja kutoka kwa gavana wa Nandi Stephen Sang. #ktnnews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews 🔴 LIVE: US Election Day 2024: KTN News Kenya | Breaking News & Entertainment Hub Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on YouTube – your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/ktnnewskenya Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNewsKe Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond. Watch KTN Live http://www.ktnnews.com/live Watch KTN News http://www.ktnnews.com Follow us on http://www.twitter.com/ktnnews Like us on http://www.facebook.com/ktnnews