Je mtu yeyote anaweza kuwa rais wa Marekani?
Hapana.
Kazi iko wazi kwa wale wana sifa zilizotajwa katika Katiba ya Marekani.
Mahitaji:
Awe na Umri wa miaka 35
Awe ameishi ndani ya Marekani kwa miaka 14.
Awe raia mzaliwa wa Marekani.
Wasisi wa taifa walikuwa na matumaini umri huenda ukaleta busara na ukomavu.
Wakati Katiba ilipokuwa inapitishwa umri wa kuishi ulikuwa chini ya miaka 40
Ukazi na uraia:
Mahitaji haya yalikuwa na azma ya kukatisha ushawishi wa nje.
Wataalamu wa kisheria wanaamini uraia wa kuzaliwa unahusu mtu aliyezaliwa nchini Marekani au aliyezaliwa na wazazi ambao ni Wamarekani.
Lakini Mahakama ya Juu Marekani haijawahi kutoa maamuzi rasmi kuhusu ufafanuzi wa suala hili.
#uchaguzi #marekani #upigajikura #mhamiaji #greencard #raia #ukaaziwakudumu #voa #voaswahili #sifa #kugombea #nafasiyaurais #sifa #wazazi #kuzaliwa
5 Feb 2025
- She was to appear before the Commission today.
5 Feb 2025
- A multi-billion commercial loan from the United Arab Emirates is also on the cards.
5 Feb 2025
- The governor issued the directive with dire consequences for those who fail obey.
6 Feb 2025
- Beneath the serenity of Manyani village, where fisherman Brian Odhiambo was brought up, a dark cloud slowly gathers.
6 Feb 2025
- Former Likoni DCIO Charles Onyango Ka’galo who was arrested on Tuesday for receiving Ksh.20,000 bribe has been arraigned in Mombasa.
5 Feb 2025
- Prime Cabinet Secretary (CS) Musalia Mudavadi says the operations of the Kenya-led Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti won’t be jeopardised after the United States froze its financial contributions to the force through the United…
5 Feb 2025
- One of the police officers implicated in Rex Masai’s murder during the anti-government protests, Isaiah Muraguri, was arraigned on Wednesday together with former Nairobi Police Commander Adamson Bungei, who is the current director of police operations.
5 Feb 2025
- Prince Rahim Al-Hussaini was named the 50th hereditary Imam, or spiritual leader of the Shia Ismaili Muslims, on Wednesday following the unsealing of his father Aga Khan IV's will, the Aga Khan Development Network said in a statement.
5 Feb 2025
- Justus Musyimi and Martin Mwau, who went missing in December and whose bodies were recovered at Nairobi Funeral Home, died of multiple injuries in the chest, head, abdominal, and neck.
5 Feb 2025
- It will now be easy for residents of border counties to acquire national Identity (ID) cards after President William Ruto signed a proclamation on Wednesday scrapping a 60-year old vetting requirement.
5 Feb 2025
- Nearly 40,000 Kenyans whose jobs are supported by the USA government aid are staring at possible job losses following the government’s move to shut down overseas mission and merge USAID with the State Department.
5 Feb 2025
- African nations have been urged to take ownership of their climate action priorities in response to the escalating economic strain caused by climate shocks.
5 Feb 2025
- As the world mourns the spiritual leader of Ismaili Muslims and businessman His Highness the Aga Khan IV, the Kenyan media space has similarly felt a weighty dent.