Mazishi ya mwanajeshi wa Israeli aliyeuwawa katika mapigano Gaza
Familia, marafiki na wanajeshi walihudhuria mazishi huko katika makaburi ya kijeshi ya Mount Herzl, Jerusalem Jumanne (Juni 11) kwa ajili ya mwanajeshi wa Israeli mwenye umri wa miaka 19 aliyeuawa katika mapigano huko kusini mwa Gaza.
Sagenti Almog Shalom ni mmoja wa wapiganaji wanne waliouwawa Jumatatu (Juni 10), jeshi la Israeli lilisema.
Zaidi ya wanajeshi wa Israeli 600 wameuwawa tangu kuanza kwa vita hivyo huko Gaza Oktoba 7.
Tangazo la Jeshi la Israeli lilikuja saa kadhaa baada ya bunge la Israeli kuendelea na sheria yenye utata ya kuwasajili jeshini wanafunzi wa misimamo mikali ya dini ya dhehebu la ultra-orthodox.
Mswaada wa usajili huo utashuhudia kidogo kidogo kuingia katika jeshi baadhi ya Wayahudi wa dhehebu la ultra-Orthodox, ambao walikuwa wanautamaduni wa kukataa kutumikia majeshi ya ulinzi.
Licha ya kuwa hapo awali ilipendekezwa na Jenerali mstaafu Benny Gantz, ambaye alijiuzulu katika serikali kutokana na mvutano juu ya mvutano wa malengo ya kimkakati ya vita vya Gaza, hivi sasa anapinga hatua hiyo, ambayo anasema haitoshelezi kwa mahitaji ya wafanyakazi wapya yanayo likabili jeshi.
- Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
22 Apr 2025
- Kenyan men have been accused of adopting outdated toxic traits.
22 Apr 2025
- Kenya's exports to the US are estimated at around Ksh109.7 billion (784 million USD).
22 Apr 2025
- The DCI revealed the case was escalated to the special unit.
23 Apr 2025
- The World Food Programme suspended malnutrition treatment for 650,000 malnourished women and children in Ethiopia this week due to severe funding shortages, the U.N. agency said, with millions more at risk of losing access to aid.
23 Apr 2025
- Africans are hoping one of their own could become the first Black pope in modern history and build on Francis's legacy of championing the developing world, though the chances of that happening appear slim.
23 Apr 2025
- The proposed law had sparked criticism from civil society groups.
23 Apr 2025
- PAC noted that the most significant assets remain without legal ownership documents.
23 Apr 2025
- Thirty-one counties are losing revenue in the proposed formula by the CRA.
23 Apr 2025
- The CS told Parliament that the funds are channelled based on the number of patients attended to.
23 Apr 2025
- CS Tuya hailed the course as a major milestone for Nairobi.
23 Apr 2025
- To the rival politicians, the scandal is supposedly manna from heaven, as the legislator had incredible ratings.
23 Apr 2025
- The marriage veterans paint the union in soft, rosy hues but studiously avoid mentioning the downside if the marriage comes crumbling down.
23 Apr 2025
- A Hamas delegation left for Cairo to discuss "new ideas" aimed at securing a ceasefire in Gaza, an official from the group said, as rescuers reported 26 dead in Israeli air strikes on Tuesday.