Ibada ya Hija yaanza leo Ijumaa Makka, Saudi Arabia
Hija ya mwaka huu ambayo inachukuliwa kuwa ni ya kihistoria ni kwa sababu kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya muongo mmoja Mahujaji kutoka Yemen, Syria na Iran wameruhusiwa kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu. Hii ni kufuatia mazungumzo kati ya serikali ya Saudi Arabia na nchi zao. Saudi Arabia imetoa tamko kwamba hawataruhusu siasa kuingilia kati ibada ya Hija.
Waumini wa Kiislam wanaendelea kukusanyika kuzunguka eneo la al-Kaaba katika Msikiti Mkuu wa Makka Saudi Arabia.
Hija ni nguzo ya tano ya Kiislam na inaanza tarehe 12, ya mwezi wa Kiislam, Dhul Hajj.
Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislam ni wajibu wa kila Muislam aliyekuwa na uwezo wa kiafya na kifedha kufanya ibada hii walau mara moja katika uhai wake. - Reuters
#hija #haji #mahujaji #waislam #uislam #makka #riadh #saudiarabia #voa #voaswahili
22 Apr 2025
- Kenyan men have been accused of adopting outdated toxic traits.
22 Apr 2025
- Kenya's exports to the US are estimated at around Ksh109.7 billion (784 million USD).
22 Apr 2025
- The DCI revealed the case was escalated to the special unit.
23 Apr 2025
- The World Food Programme suspended malnutrition treatment for 650,000 malnourished women and children in Ethiopia this week due to severe funding shortages, the U.N. agency said, with millions more at risk of losing access to aid.
23 Apr 2025
- Africans are hoping one of their own could become the first Black pope in modern history and build on Francis's legacy of championing the developing world, though the chances of that happening appear slim.
23 Apr 2025
- The CS told Parliament that the funds are channelled based on the number of patients attended to.
23 Apr 2025
- CS Tuya hailed the course as a major milestone for Nairobi.
23 Apr 2025
- To the rival politicians, the scandal is supposedly manna from heaven, as the legislator had incredible ratings.
23 Apr 2025
- The proposed law had sparked criticism from civil society groups.
23 Apr 2025
- PAC noted that the most significant assets remain without legal ownership documents.
23 Apr 2025
- Thirty-one counties are losing revenue in the proposed formula by the CRA.
23 Apr 2025
- The marriage veterans paint the union in soft, rosy hues but studiously avoid mentioning the downside if the marriage comes crumbling down.
23 Apr 2025
- A Hamas delegation left for Cairo to discuss "new ideas" aimed at securing a ceasefire in Gaza, an official from the group said, as rescuers reported 26 dead in Israeli air strikes on Tuesday.