- 113 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
ZULIA JEKUNDU - USHER RAYMOND APEWA TUZO YA MSANII MKONGWE
- - RICE FORTIFICATION ››
- 22 Oct 2024 - Environment Cabinet Secretary Aden Duale has directed the National Environment Management Authority (NEMA) to begin a crackdown on noise polluters.
- 22 Oct 2024 - The repatriation of four Turkish nationals back to their home country has sparked heated debate with various non-governmental bodies slamming the seemingly undiplomatic act.
- 22 Oct 2024 - More than 100 female professional footballers from 24 countries have called on the sport's governing body FIFA to end its sponsorship deal with Saudi oil giant Aramco, citing human rights issues and treatment of the LGBTQ+ community as well as…
- 22 Oct 2024 - Ukraine's population has declined by around eight million since Russia invaded in February 2022, sparking an exodus and sending birth rates plunging, the United Nations said Tuesday. The UN Population Fund said there had not been a census, but that…
- 22 Oct 2024 - The Ministry of Agriculture has banned macadamia harvesting with effect from November 2, 2024 until March 1, 2025, to curb the export of immature nuts. Agriculture Cabinet Secretary (CS) Andrew Karanja said the decision was after consultations with…
- 22 Oct 2024 - Turkish President Recep Tayyip Erdogan on Tuesday condemned late preacher Fethullah Gulen and his followers as traitors and vowed to pursue them globally, following the influential cleric's death in exile. "These traitors managed to escape Turkish…
- 22 Oct 2024 - The fire erupted in one house before spreading to other homes.
- 22 Oct 2024 - This is an updated breed of car robberies where burglars are no longer using guns as previously witnessed.
- 22 Oct 2024 - Cabinet Secretary for Investments, Trade and Industry Salim Mvurya has called for actionable strategies to address mental health challenges in prisons. While acknowledging the prevalence of mental health issues in correctional institutions, the CS…
- 22 Oct 2024 - The government insists that the initiative is designed to meet the critical housing needs of the citizens.