Mabingwa wa BAL Petro de Luanda 2024, Faust yapata pointi 24
Timu ya Petro de Luanda ilipata ushindi wa pointi 107- 94 dhidi ya Al Ahly Ly Jumamosi na kushinda taji la Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika 2024 huko BK Arena Kigali, Rwanda.
Huu ni ushindi wa kwanza wa bara la Afrika kwa Petro de Luanda tangu iliposhinda Michuano ya Kombe la Afrika FIBA 2015, katika mji mkuu Luanda.
Mabingwa hao wa Angola walikuwa nyuma kwa pointi 52 – 40 wakati wa mapumziko lakini wakaweza kubadilisha muelekeo katika kota ya tatu ya mchezo huo na kuzima ushindi wa michezo mitatu ya Al Ahly Ly katika msimu uliopita.
Nicholas Faust aliongoza washindi hao wapya kwa pointi 24; Markeith Cummings aliongeza pointi 20 na Cleusio Castro alionyesha juhudi kubwa ya kupata pointi 10 alipoingia mchezoni.
Kwa ushindi huo, Petro de Luanda ilijipatia haki ya kuwakilisha Afrika katika Michuano ya Kombe la Mabara mbalimbali Septemba ijayo huko Singapore. (BAL)
#basketball #bal #nba #playoffs #explorepage #sports #africa #voa
22 Apr 2025
- Kenyan men have been accused of adopting outdated toxic traits.
22 Apr 2025
- Kenya's exports to the US are estimated at around Ksh109.7 billion (784 million USD).
22 Apr 2025
- The DCI revealed the case was escalated to the special unit.
23 Apr 2025
- The World Food Programme suspended malnutrition treatment for 650,000 malnourished women and children in Ethiopia this week due to severe funding shortages, the U.N. agency said, with millions more at risk of losing access to aid.
23 Apr 2025
- Africans are hoping one of their own could become the first Black pope in modern history and build on Francis's legacy of championing the developing world, though the chances of that happening appear slim.
23 Apr 2025
- To the rival politicians, the scandal is supposedly manna from heaven, as the legislator had incredible ratings.
23 Apr 2025
- PAC noted that the most significant assets remain without legal ownership documents.
23 Apr 2025
- The CS told Parliament that the funds are channelled based on the number of patients attended to.
23 Apr 2025
- The proposed law had sparked criticism from civil society groups.
23 Apr 2025
- Thirty-one counties are losing revenue in the proposed formula by the CRA.
23 Apr 2025
- CS Tuya hailed the course as a major milestone for Nairobi.
23 Apr 2025
- The marriage veterans paint the union in soft, rosy hues but studiously avoid mentioning the downside if the marriage comes crumbling down.
23 Apr 2025
- A Hamas delegation left for Cairo to discuss "new ideas" aimed at securing a ceasefire in Gaza, an official from the group said, as rescuers reported 26 dead in Israeli air strikes on Tuesday.