- 76 views
Waandamanaji waliokuwa wakipinga mswada wa fedha wa mwaka 2024 walikabiliana na polisi katikati ya jiji la Nairobi wakiutaja kuwa uliopita na wakati na unaowaadhabi raia. Mipango ya waandamanaji hao ilikuwa kuingia majengo ya bunge lakini juhudi zapo ziliambiulia patupu pale walipozuiliwa na maafisa wa polisi walioshika doria katika barabara zote kuu za jiji zinazoelekea bungeni. Lakini tofauti na maandamano ya awali dhidi ya serikali wakati huu wanasiasa hawakuonekana. Kama vile mwanahabari wetu Timothy Kipnusu anavyotuarifu waandamanaji wamewaonya wabunge dhidi ya kupitisha mswada huo wakisema wanahatarisha kuchaguliwa kwao tena bungeni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Waandamanaji wakabiliana na polisi Nairobi
- 30 Jun 2024 - Haitian Prime Minister Garry Conille left Port-au-Prince on Friday to travel to Washington and New York, as freshly deployed Kenyan police officers began patrolling the city as part of a U.N.-backed mission to battle armed gangs that have taken over the…
- 29 Jun 2024 - The government outlined the procedure for the formation of a 100-member National Steering Committee that will lead conversations with the Kenyan youth.
- 29 Jun 2024 - Bolivian President Luis Arce said Friday a former general planned to "take over" the government and become president in a failed coup, and he denied that the Andean nation was in an economic crisis.
- 29 Jun 2024 - The ODPP is set to charge Tanathi Water Works Development Agency Chief Executive Officer Fredrick Tito Mwamati and other senior officials over procurement irregularities totalling over Ksh.292 million.
- 29 Jun 2024 - The Milimani High Court on Friday upheld the conviction of two suspected terrorists involved in the 2013 Westgate Mall terror attack.
- 29 Jun 2024 - The policeman shot the attacker dead after being wounded in the neck
- 29 Jun 2024 - The DP found himself at the receiving end after calling out on Hajji to resign.
- 29 Jun 2024 - ''Even if you don't like us, we are part of this government.''
- 29 Jun 2024 - Barely a day after he hosted a delegation of Catholic bishops at State House, Nairobi, President William Ruto has now hosted their counterparts from the AIPCA.
- 29 Jun 2024 - “This will not stop if you don't come out and talk strongly."