Mkimbizi wa Cameroon Anaongoza Juhudi za Kutafuta Elimu ya Juu Nigeria
Tangu mwaka 2017, serikali ya Cameroon na wanaotaka kujitenga wanaozungumza Kingereza wamekuwa katika vita. Mgogoro huo umeuwa zaidi ya watu 6,000 na kuwafanya maelfu ya watu wengine kukoseshwa makazi. Wengi kati yao wamechukua hifadhi huko Nigeria na wanajaribu kujijenga tena kimaisha, lakini fursa na rasilimali ni chache. Hata hivyo, mkimbizi mmoja anafanya juhudi kubadilisha maisha yake kwa kujiunga na elimu ya juu kama njia ya kufikia mafanikio. Timothy Obiezu anaripoti kutoka Ogoja huko kusini mwa Nigeria.
#worldrefugeeday #wrd #nigeria #cameroon #unhcr #voa
27 Sep 2024
- This comes days after President William Ruto met the foundation's officials in New York.
27 Sep 2024
- The move comes following complaints by Kenyans over the behaviour of matatu operators.
27 Sep 2024
- Kenya's currency has retained its position as the world's best-performing currency after gaining by 17 per cent.
28 Sep 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua's allies have attributed his tribulations in government to what they describe as coordinated efforts to undermine his office.
28 Sep 2024
- The journey ahead demands a closer look at both the triumphs and the gaps that remain.
28 Sep 2024
- The implementation of the Social Health Insurance Fund (SHIF) is in complete disarray as members of the public infiltrated virtual training sessions meant for public health officials across the country regarding the registration and use of the new…
28 Sep 2024
- The Law Society of Kenya (LSK) has filed a contempt of court application against Inspector General of Police Douglas Kanja.
28 Sep 2024
- New scheme risks merely shifting financial burdens without improvements in healthcare quality.
28 Sep 2024
- The web of firms taking over your healthcare
28 Sep 2024
- Angry Kenyans raise concerns over rollout of new health scheme
28 Sep 2024
- Doctors want Nairobi Hospital board audited, shown the door
28 Sep 2024
- Confusion as top officials snub SHA digital demonstration event
28 Sep 2024
- NG-CDF's fate sealed, time legislators kissed the fund goodbye