Trump na Biden wakosoana kuhusu suala la uhamiaji https://www.cnn.com/
Katika miezi ya hivi karibuni, Biden amejaribu kurekebisha muonekano wake usiopendeza kwa umma katika kushughulikia suala la uhamiaji, kwanza kwa kuidhinisha pendekezo la Baraza la Seneti la vyama vyote viwili likiwa na baadhi ya masharti magumu katika kumbukumbu za karibuni na baadae, baada ya sheria ile kuvunjika, akichukua hatua za kiutendaji kuwadhibiti wahamiaji wanaoomba hifadhi upande wa kusini wa mpaka.
Lakini wakati Biden akijaribu kuhamasisha mafanikio aliyofikia, hasa kupungua kwa asilimia 40 ya idadi ya uvukaji kinyume cha sheria tangu agizo lake la mpaka kutekelezwa mwezi huu, Trump alieleza machachari ya kisiasa yakieleza ni kiza na balaa kuonyesha hali ya mpakani iliyovurugika chini ya uangalizi wa Biden.
Kwa mfano, Trump alitoa hoja kuwa wahamiaji wanaowasili kwenye mpaka wa Marekani wamekuja kutoka “hospitali za magonjwa ya akili” na “waomba hifadhi wendawazimu” – ambapo hajaweza kutoa ushahidi wowote. Pia alidai mpaka wa Marekani – Mexico (AP).
#trump #biden #voa
22 Apr 2025
- Kenyan men have been accused of adopting outdated toxic traits.
22 Apr 2025
- Kenya's exports to the US are estimated at around Ksh109.7 billion (784 million USD).
22 Apr 2025
- The DCI revealed the case was escalated to the special unit.
23 Apr 2025
- The World Food Programme suspended malnutrition treatment for 650,000 malnourished women and children in Ethiopia this week due to severe funding shortages, the U.N. agency said, with millions more at risk of losing access to aid.
23 Apr 2025
- Africans are hoping one of their own could become the first Black pope in modern history and build on Francis's legacy of championing the developing world, though the chances of that happening appear slim.
23 Apr 2025
- The proposed law had sparked criticism from civil society groups.
23 Apr 2025
- PAC noted that the most significant assets remain without legal ownership documents.
23 Apr 2025
- Thirty-one counties are losing revenue in the proposed formula by the CRA.
23 Apr 2025
- The CS told Parliament that the funds are channelled based on the number of patients attended to.
23 Apr 2025
- CS Tuya hailed the course as a major milestone for Nairobi.
23 Apr 2025
- To the rival politicians, the scandal is supposedly manna from heaven, as the legislator had incredible ratings.
23 Apr 2025
- The marriage veterans paint the union in soft, rosy hues but studiously avoid mentioning the downside if the marriage comes crumbling down.
23 Apr 2025
- A Hamas delegation left for Cairo to discuss "new ideas" aimed at securing a ceasefire in Gaza, an official from the group said, as rescuers reported 26 dead in Israeli air strikes on Tuesday.