- 2,857 views
Rais William Ruto alisema nchi italazimika kukopa zaidi ili kuendelea kuendesha serikali kufuatia kukataliwa kwa mswada wa fedha wa mwaka wa 2024 uliokusudiwa kupata pesa zaidi kupitia ushuru. Wakati wa mahojiano na wanahabari hapo jana, Ruto alisema serikali italazimika kukopa zaidi ya shilingi bilioni 346 ili kujaza nakisi hiyo, na hivyo kufanya jumla ya mikopo ya mwaka wa fedha wa 2024/25 kufikia karibu shilingi trilioni moja. Hii hata hivyo inakinzana na agizo lake kwa hazina ya kupunguza matumizi kwa kiasi sawa maswali yakiibuka kuhusiana na ahadi ya Rai Ruto kubana matumizi katika serikali yake .
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
"Tutakopa zaidi" Rais William Ruto asema
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE | | News Now ››
- - 🔴TV47 MATUKIO ››
- 6 Jul 2024 - Britain's new Prime Minister Keir Starmer pledged on Friday to use his massive electoral majority to rebuild the country, saying he wanted to take the heat out of politics after years of upheaval and strife.
- 6 Jul 2024 - Makueni continues to be plagued by a string of highway robberies.
- 6 Jul 2024 - The election was called after Iran’s previous president Ebrahim Raisi was killed in a helicopter crash.
- 6 Jul 2024 - The three were part of a group of nine suspects attacked by the mob.
- 6 Jul 2024 - Soldiers get death sentence for fleeing battles in conflict-torn North Kivu province.
- 6 Jul 2024 - Soldiers get death sentence for fleeing battles in conflict-torn North Kivu province.
- 6 Jul 2024 - The former Board chair was appointed in March this year.
- 6 Jul 2024 - The social media platforms have changed the conversation in Kenya.
- 6 Jul 2024 - Court orders City Hall to pay Ojienda Sh153m legal fees
- 6 Jul 2024 - Gen Z awakens spirit of Saba Saba in their agitation for transparency