- 143 views
Idara ya upelelezi wa jinai inawasaka wahalifu waliodai kuwa waandamanaji lakini wakanaswa kwenye picha za CCTV wakipora na kuvunja biashara kadha katikati ya jiji la Nairobi. Kwenye ujumbe katika kitandazi cha X, idara hiyo inayoongozwa na Mohammed Amin ilisisitiza kwamba hata ingawa wakenya wana haki ya kuandamana, baadhi ya waandamanaji walichukua fursa ya hali tete na kuvunja maduka kwenye barabara ya Ronald Ngala ambapo walipora mali. Na jinsi Abdiaziz Hashim anavyotuarifu, maafisa wa upelelezi wamewahimiza Wakenya kutoa taarifa kuhusu watu ambao picha zao zilinaswa kwenye kamera za CCTV wakitekeleza uhalifu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wahalifu walionaswa wakipora mali wasakwa
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE | | News Now ››
- 6 Jul 2024 - Joe Biden vowed Friday to stay in the White House race and blamed his dismal debate performance on "feeling terrible" due to a cold, as he sought to save his reelection campaign with a make-or-break TV interview.
- 6 Jul 2024 - Britain's new Prime Minister Keir Starmer pledged on Friday to use his massive electoral majority to rebuild the country, saying he wanted to take the heat out of politics after years of upheaval and strife.
- 6 Jul 2024 - KMPDU had announced plans to occupy the Ministry of Health's premises in Nairobi on Monday
- 6 Jul 2024 - City Hall collected Sh10.6 billion in 2022/23 Sh8.9 billion in 2021/22 and Sh9.7 billion in 2020/21.
- 6 Jul 2024 - The companies were mostly based in Nairobi and Mombasa.
- 6 Jul 2024 - African leaders urge UN to prioritise tree planting drive
- 6 Jul 2024 - Beryl heads for Texas after causing damage, no deaths in Mexico
- 6 Jul 2024 - Deadline nears for Boeing decision on proposed MAX agreement
- 6 Jul 2024 - Vision 2030 has been said to be five years behind schedule, and Nzai will be tasked with regaining some of the lost time.
- 6 Jul 2024 - Starmer begins UK 'rebuild' after landslide election win