- 497 views
Wafanyabiashara na wakazi wa kaunti ya Bomet wanataka serikali ya kaunti hiyo iwajibike baada ya kukosa maji kwa miezi mitano sasa. Wamiliki wa hoteli wanasema kuwa biashara zao zimeathirika pakubwa kwa sababu wanalazimika kutumia maji chafu yenye gharama ya juu huku wakihatarisha afya ya wateja wao. Hata hivyo, wanasema kuwa wamekerwa zaidi baada ya gavana wa kaunti hiyo Hillary Barchok kuwaahidi kuwa usambazaji wa maji utaimarishwa ila wakazi wamesalia kwenye ngojangoja zisizo na mwisho.Inasemekana kuwa kaunti hiyo ina deni kubwa la kampuni ya usambazaji wa umeme
Wakazi wa Bomet wanataabika kupata maji
- - ULIMWENGU WA SOKA ››
- - 🔴LIVE|| NEWSNOW ››
- 6 Oct 2024 - In the wake of the devastation of Hurricane Helene in the United States this week, a new storm emerged on social media - false rumors about how disaster funds have been used, and even claims that officials control the weather.
- 6 Oct 2024 - Haitian Prime Minister Garry Conille embarked on a trip to the United Arab Emirates and Kenya on Saturday to seek security assistance in the aftermath of one of deadliest gang attacks in the Caribbean nation in recent years.
- 6 Oct 2024 - Russia reported Friday that a "principal decision" had already been made to remove Afghanistan’s ruling Taliban from Moscow’s list of terrorist organizations.
- - Education Systems: Comparing the 7-4-2-3 system, 8-4-4 system and CBC
- 6 Oct 2024 - Tunisia's President Kais Saied, seen as a saviour by supporters and an autocrat by critics, is running for re-election on Sunday in a vote that he is all but certain to win. More than a dozen politicians had hoped to challenge him, but the electoral…
- 6 Oct 2024 - The potential successor to slain Hezbollah leader Sayyed Hassan Nasrallah has been out of contact since Friday, a Lebanese security source said on Saturday, after an Israeli airstrike that is reported to have targeted him.
- 6 Oct 2024 - The DCI, during the visit, noted that it was part of their Corporate Social Responsibility (CSR).
- 6 Oct 2024 - Nearly three months after an assassin’s bullet came close to taking his life, former President Donald Trump returned to Butler, Pennsylvania - a place of "tragedy and heartache" - to promise his supporters victory in the 5 November presidential election…
- 6 Oct 2024 - Azimio primed to clinch CoG chair position
- 6 Oct 2024 - Global Gateway: How EU's anti-China strategy is failing in Africa