- 135 views
Wakaazi wa Shanga Ishakani katika eneo bunge la Lamu Mashariki, Wadi ya Faza, wanalamikia ukosefu wa maji ambao umetatiza shughuli zao za kila siku, ikiwemo masomo. Kulingana na wakaazi hao, wamekuwa wakitumia maji ya mvua yaliyohifadhiwa katika majabia, lakini kwa sasa maji hayo yamekwisha na wanalazimika kuenda umbali wa kilomita 10 katika kijiji jirani cha Siyu kutafuta maji. wanalalamika kuwa mtungi w alita ishirini huwagharimu shilingi hamsini. Aidha, wakaazi hao wameiomba serikali ya kaunti ya lamu kuingilia kati na kuwasambazia maji kwa kutumia magari ya kubebea maji ili waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku bila matatizo.
Wakaazi wa Shanga Ishakani wanalalamikia kukosa maji
- 6 Oct 2024 - A remorseful Deputy President Rigathi Gachagua has pleaded with his family to pardon him for the unwarranted public attention they have experienced due to his political afflictions.
- 6 Oct 2024 - The Kenya Kwanza administration is looking to increase the number of Kenyans working in Qatar to 300,000, from the current 67,000.
- 6 Oct 2024 - Beleaguered Deputy President Rigathi Gachagua on Sunday asked for forgiveness ahead of his D-day with Members of Parliament who will decide on his removal from office through impeachment.
- 6 Oct 2024 - The Archbishop observed the impeachment of Deputy President Gachagua is not a priority.
- 6 Oct 2024 - A passenger bus plunged into the Indian Ocean at the Likoni Ferry crossing channel on Sunday morning.
- 6 Oct 2024 - President William Ruto on Sunday assured the church that his government will not allow the freedom of worship to be obstructed amid a proposal to introduce a code of conduct for Kenyan religious centres.
- 6 Oct 2024 - Rigathi Gachagua faces a real possibility of losing his seat as Deputy President.
- 6 Oct 2024 - Elgeyo Marakwet Governor Wisley Rotich has underscored the urgent need for mental health awareness across the board. The Governor observed that mental health has long been neglected and called for increased efforts to reduce stigma and promote access to…
- 6 Oct 2024 - Mbeere South Constituency residents have given their Member of Parliament the leeway to make the decision on how to cast his vote on Deputy President Rigathi Gachagua’s impeachment. The residents spoke out during the second day of public participation…
- 6 Oct 2024 - NAIROBI, Kenya Oct 6 – Deputy President Rigathi Gachagua has apologized for his “shareholder government” ideology, which has sparked controversy, particularly in regions that did not back President William Ruto during the 2022 general election. Gachagua…