- 580 views
Wapigaji miereka wa Kenya wamenyakuwa idadi kubwa ya medali kwenye siku ya mwisho ya michuano ya Afrika Mashariki yaliyomalizika nairobi hapo jana.. Katika siku ya pili ambayo ilikuwa maalum kwa miereka ya ufukweni, kenya ilishinda medali zote katika vitengo vya kilo 70 na kilo 80 kwa wanaume. Omary musa wa tanzania alimshinda mkenya alphonse gumba na kunyakuwa dhahabu katika pigano la kilo 90 kwa wanaume huku gloria niyonkuru wa burundi akishinda dhahabu katika kilo 60 wanawake dhidi ya emma nekesa wa kenya. Jane kwamboka wa kenya nae alinyakua dhahabu ya kilo 70 dhidi ya vihanshy simran wa mauritius. Michuano hiyo ya siku mbili iliwavutia zaidi ya wapiganaji 50 kutoka mataifa sita.
Wakenya wamezoa medali nyingi kwenye shindano la Miereka
- 6 Oct 2024 - A remorseful Deputy President Rigathi Gachagua has pleaded with his family to pardon him for the unwarranted public attention they have experienced due to his political afflictions.
- 6 Oct 2024 - The Kenya Kwanza administration is looking to increase the number of Kenyans working in Qatar to 300,000, from the current 67,000.
- 6 Oct 2024 - Beleaguered Deputy President Rigathi Gachagua on Sunday asked for forgiveness ahead of his D-day with Members of Parliament who will decide on his removal from office through impeachment.
- 6 Oct 2024 - A passenger bus plunged into the Indian Ocean at the Likoni Ferry crossing channel on Sunday morning.
- 6 Oct 2024 - President William Ruto on Sunday assured the church that his government will not allow the freedom of worship to be obstructed amid a proposal to introduce a code of conduct for Kenyan religious centres.
- 6 Oct 2024 - Elgeyo Marakwet Governor Wisley Rotich has underscored the urgent need for mental health awareness across the board. The Governor observed that mental health has long been neglected and called for increased efforts to reduce stigma and promote access to…
- 6 Oct 2024 - Mbeere South Constituency residents have given their Member of Parliament the leeway to make the decision on how to cast his vote on Deputy President Rigathi Gachagua’s impeachment. The residents spoke out during the second day of public participation…
- 6 Oct 2024 - GAZA, Oct. 6 (Xinhua) — At least 24 Palestinians were killed and 93 others wounded during Israel’s bombing of a mosque and a school in the central Gaza Strip on Sunday, media reports said. The Israeli army bombed the Al-Aqsa Martyrs Mosque adjacent to…
- 6 Oct 2024 - Deputy president appeals to boss as legal battle looms
- 6 Oct 2024 - Deputy president appeals to boss as legal battle looms