- 125 viewsMajeshi ya Israeli Jumanne yameongeza operesheni zake huko Gaza City licha ya maonyo kutoka kwa viongozi wa Hamas kuwa mashambulizi yanaweza kuathiri mazungumzo yanayoendelea ya sitisho la mapigano. Jeshi la Israeli limesema kuwa wanajeshi wake walikuwa wanapiga katika eneo la Shejaiya na limeuwa darzeni ya wanamgambo. Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN imeelezea wasiwasi wake Jumanne kuhusu operesheni hiyo na amri za hivi karibuni za Israel zimewataka raia waondoke. Shirika la UN lilisema amri hizo zilizotolewa Jumapili ziliwataka raia kuondoka kuelekea magharibi mwa Gaza City kwa usalama wao, na baadaye kushuhudia Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limeongeza mashambulizi yake huko. “Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN imerejea kueleza wasiwasi wake kuwa amri ya IDF ikiwataka watu kuhama inakanganya, mara kwa mara ikiwaamirisha watu kuondoka kwenda maeneo mengine ambapo operesheni za kijeshi za IDF zinafanyika. Tunarejea wito wetu kwa Israel kufanya juhudi zote kuhakikisha usalama wa raia huko Gaza,” shirika hilo lilisema katika taarifa yake. Wapatanishi nchini Misri wanajaribu kufanikisha kile kinachotafutwa kwa muda mrefu kusitisha mapigano huko Gaza. White House ilisema Jumatatu kuwa maafisa wa Marekani wako Misri kwa majadiliano yanayolenga kupatika kwa makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Israel na Hamas. Wanamgambo wa Palestina waliwauwa takriban watu 1,200 katika shambulizi la kushtukiza na kuwachukua mateka wengine 250 mnamo Oktoba 7, 2023. Shambulizi la kulipiza kisasi la Israel liliofuatia limeuwa zaidi ya Wapalestina 38,000, kulingana na Wizara ya Afya katika eneo hilo, hesabu yao haitofautishi kati ya wapiganaji na raia. - AP, AFP, Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
Wapalestina
- - v ››
- 17 Sep 2024 - Iconic shipbuilder Harland and Wolff, famed for constructing the doomed Titanic, said Monday it faced renewed financial difficulties, forcing it to offload non-core assets to preserve its shipyards.
- 16 Sep 2024 - Iranian President Masoud Pezeshkian vowed Monday to use his power to ensure that morality police do not "bother" women, speaking on the second anniversary of Mahsa Amini's death in custody.
- 16 Sep 2024 - Nigerian state oil firm NNPC Ltd on Monday increased the price of petrol by 11%, the second increase in two weeks and a day after it started purchasing the fuel from the giant Dangote oil refinery on the outskirts of Lagos.
- 16 Sep 2024 - President Joe Biden said Monday that the US Secret Service needs more personnel to perform its duties after a second apparent assassination attempt against Republican election candidate Donald Trump.
- 16 Sep 2024 - Police said Monday they would continue holding Pascaline Peter, the woman they arrested last week for allegedly defrauding Kenyans Ksh.350 million in a real estate investment scam, for 30 more days pending further investigations.
- 16 Sep 2024 - Kenya's auditor general has started to examine the country's debt to ascertain the amounts owed to various creditors, Finance Minister John Mbadi told Reuters on Monday.
- 16 Sep 2024 - Ngozi Okonjo-Iweala, the first woman and first African to head the World Trade Organization, will seek a second four-year term when her mandate expires next August, her spokesman said Monday.
- 16 Sep 2024 - Mt Kenya East professionals demand reinstatement of state officials from the region who were sacked.
- 16 Sep 2024 - Ruto appoints committee to review university funding model
- 16 Sep 2024 - Kyiv on Monday denied links to a man accused of trying to assassinate former U.S. President Donald Trump, after it emerged that the suspect was a supporter of Ukraine who had said he wanted to recruit foreign volunteers to fight there.