- 125 viewsMajeshi ya Israeli Jumanne yameongeza operesheni zake huko Gaza City licha ya maonyo kutoka kwa viongozi wa Hamas kuwa mashambulizi yanaweza kuathiri mazungumzo yanayoendelea ya sitisho la mapigano. Jeshi la Israeli limesema kuwa wanajeshi wake walikuwa wanapiga katika eneo la Shejaiya na limeuwa darzeni ya wanamgambo. Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN imeelezea wasiwasi wake Jumanne kuhusu operesheni hiyo na amri za hivi karibuni za Israel zimewataka raia waondoke. Shirika la UN lilisema amri hizo zilizotolewa Jumapili ziliwataka raia kuondoka kuelekea magharibi mwa Gaza City kwa usalama wao, na baadaye kushuhudia Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limeongeza mashambulizi yake huko. “Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN imerejea kueleza wasiwasi wake kuwa amri ya IDF ikiwataka watu kuhama inakanganya, mara kwa mara ikiwaamirisha watu kuondoka kwenda maeneo mengine ambapo operesheni za kijeshi za IDF zinafanyika. Tunarejea wito wetu kwa Israel kufanya juhudi zote kuhakikisha usalama wa raia huko Gaza,” shirika hilo lilisema katika taarifa yake. Wapatanishi nchini Misri wanajaribu kufanikisha kile kinachotafutwa kwa muda mrefu kusitisha mapigano huko Gaza. White House ilisema Jumatatu kuwa maafisa wa Marekani wako Misri kwa majadiliano yanayolenga kupatika kwa makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Israel na Hamas. Wanamgambo wa Palestina waliwauwa takriban watu 1,200 katika shambulizi la kushtukiza na kuwachukua mateka wengine 250 mnamo Oktoba 7, 2023. Shambulizi la kulipiza kisasi la Israel liliofuatia limeuwa zaidi ya Wapalestina 38,000, kulingana na Wizara ya Afya katika eneo hilo, hesabu yao haitofautishi kati ya wapiganaji na raia. - AP, AFP, Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
Wapalestina
- - Duniani Leo ››
- 5 Feb 2025 - It may sound apocalyptic, but a newly detected asteroid nearly the size of a football field now has a greater than one percent chance of colliding with Earth in about eight years.
- 5 Feb 2025 - The US government's giant humanitarian agency USAID on Tuesday announced it was placing its staff in the United States and around the world on administrative leave as it moved to recall employees from overseas postings.
- 5 Feb 2025 - The UN Security Council gave the green light in October 2023 to the Multinational Security Support (MSS) mission designed to support Haiti's authorities in their fight against criminal gangs, which control swaths of the country.
- 5 Feb 2025 - Australia has banned DeepSeek from all government devices over concerns that the Chinese artificial intelligence startup poses security risks, the government said on Tuesday.
- 5 Feb 2025 - Spiritual leader of Ismaili Muslims and businessman the Aga Khan has died aged 88. According to a statement from the Aga Khan Development Network, the billionaire investor died peacefully surrounded by his family.
- 5 Feb 2025 - President Donald Trump's overhaul of U.S. foreign assistance has led to chaos in the aid and development field, leaving hundreds of contractors in a severe financial crunch with some already having to lay off staff and others facing millions of dollars…
- 5 Feb 2025 - China imposed targeted tariffs on American imports on Tuesday and put several U.S. companies, including Google, on notice for possible sanctions, in a measured response to the sweeping duties on Chinese imports imposed by President Donald Trump.
- 5 Feb 2025 - “He was an extraordinary leader who went beyond what seemed impossible to help the vulnerable through his charities” The post Ruto pays tribute to Aga Khan as an extraordinary leader first appeared on KBC.
- 5 Feb 2025 - It is still unclear the impact Donald Trump’s orders will have on the mission.
- 5 Feb 2025 - Tensions rise as Trump and Musk criticise South Africa's land policies, sparking diplomatic talks.