- 4,243 views
Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua . Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua
- - KISUMU CELEBRATIONS ››
- - RICE FORTIFICATION ››
- 22 Oct 2024 - Environment Cabinet Secretary Aden Duale has directed the National Environment Management Authority (NEMA) to begin a crackdown on noise polluters.
- 22 Oct 2024 - The repatriation of four Turkish nationals back to their home country has sparked heated debate with various non-governmental bodies slamming the seemingly undiplomatic act.
- 22 Oct 2024 - In August 1987, the High Court acquitted him of stealing cash, but he had already served a three-year jail term.
- 22 Oct 2024 - More than 100 female professional footballers from 24 countries have called on the sport's governing body FIFA to end its sponsorship deal with Saudi oil giant Aramco, citing human rights issues and treatment of the LGBTQ+ community as well as…
- 22 Oct 2024 - Ukraine's population has declined by around eight million since Russia invaded in February 2022, sparking an exodus and sending birth rates plunging, the United Nations said Tuesday. The UN Population Fund said there had not been a census, but that…
- 22 Oct 2024 - The Ministry of Agriculture has banned macadamia harvesting with effect from November 2, 2024 until March 1, 2025, to curb the export of immature nuts. Agriculture Cabinet Secretary (CS) Andrew Karanja said the decision was after consultations with…
- 22 Oct 2024 - Turkish President Recep Tayyip Erdogan on Tuesday condemned late preacher Fethullah Gulen and his followers as traitors and vowed to pursue them globally, following the influential cleric's death in exile. "These traitors managed to escape Turkish…
- 22 Oct 2024 - The fire erupted in one house before spreading to other homes.
- 22 Oct 2024 - Egypt recently deepened its involvement in the war-weary Horn of Africa by arming Somalia and deploying its troops in the embattled country.
- 22 Oct 2024 - This is an updated breed of car robberies where burglars are no longer using guns as previously witnessed.