Waokoaji: 'Jeshi la Israeli laacha miili mingi mjini Gaza City'
Waokoaji walisema majeshi ya Israeli yameacha darzeni za miili walipoondoka maeneo mbalimbali ya Gaza City usiku baada ya mashambulizi makali yaliyodumu kwa wiki nzima ambayo yalikabiliwa na wapiganaji wa Hamas wakikabiliana nao. Waokoaji walisema wameikusanya kiasi ya miili 60 hadi sasa.,
Jeshi hilo lilitoa kanda ya video Jumatano (Julai 10) ikionyesha kile walichosema ni majeshi ya ardhini yakifanya operesheni Gaza wakati mashauriano ya kusitisha mapigano katika vita vilivyodumu kwa miezi tisa yamepangwa kuanza tena.
Jeshi la Israeli lilisema katika taarifa yake kuwa majeshi yake yalikuwa yanaendelea na operesheni huko Gaza City dhidi ya wanamgambo wa Hamas na washirika wao Islamic Jihad, ambao walisema walikuwa wanafanya mashambulizi kutoka katika kituo cha UNRWA, wakikitumia kama ni ngome yao ya kufanya mashambulizi.
Kulingana na jeshi la Israeli walikuwa wamefanyia operesheni zao katikati mwa Gaza na Shejaiya.
Shirika la habari la Reuters halikuweza kuthibitisha eneo linaloonyeshwa katika kanda ya video. Reuters imeshindwa kupata uthibitisho huru wa tarehe ambayo video hiyo ilichukuliwa.
Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli.
Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000.
Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakazi asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #hospitali #nasserhospital
16 Sep 2024
- The lucky punter replicated five different bets.
16 Sep 2024
- Previously, applicants could wait for up to a month for their Identification cards to be ready.
16 Sep 2024
- The government is grappling with financial constraints and the exploding demand for electricity supply.
17 Sep 2024
- Iconic shipbuilder Harland and Wolff, famed for constructing the doomed Titanic, said Monday it faced renewed financial difficulties, forcing it to offload non-core assets to preserve its shipyards.
16 Sep 2024
- Iranian President Masoud Pezeshkian vowed Monday to use his power to ensure that morality police do not "bother" women, speaking on the second anniversary of Mahsa Amini's death in custody.
16 Sep 2024
- Nigerian state oil firm NNPC Ltd on Monday increased the price of petrol by 11%, the second increase in two weeks and a day after it started purchasing the fuel from the giant Dangote oil refinery on the outskirts of Lagos.
16 Sep 2024
- President Joe Biden said Monday that the US Secret Service needs more personnel to perform its duties after a second apparent assassination attempt against Republican election candidate Donald Trump.
16 Sep 2024
- Police said Monday they would continue holding Pascaline Peter, the woman they arrested last week for allegedly defrauding Kenyans Ksh.350 million in a real estate investment scam, for 30 more days pending further investigations.
16 Sep 2024
- Kenya's auditor general has started to examine the country's debt to ascertain the amounts owed to various creditors, Finance Minister John Mbadi told Reuters on Monday.
16 Sep 2024
- Ngozi Okonjo-Iweala, the first woman and first African to head the World Trade Organization, will seek a second four-year term when her mandate expires next August, her spokesman said Monday.
16 Sep 2024
- Mt Kenya East professionals demand reinstatement of state officials from the region who were sacked.
16 Sep 2024
- Ruto appoints committee to review university funding model
16 Sep 2024
- Kyiv on Monday denied links to a man accused of trying to assassinate former U.S. President Donald Trump, after it emerged that the suspect was a supporter of Ukraine who had said he wanted to recruit foreign volunteers to fight there.