- 140 viewsMaelfu ya Wairan wameadhimisha siku ya Ashura Jumanne (Julai 16), sikukuu ya kidini ya kumuenzi Imam Hussein aliyekufa shahidi, ambaye ni mjukuu wa Mtume Muhammad. Ashura, ni maadhimisho ya kila mwaka ambapo watu huonyesha michezo yenye kuvutia na kuigiza Vita vya Kerbala ambavyo Imam Hussein alifariki, inafanyika katika siku ya kumi ya mwezi wa Muharram, mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiislam. Waislam wa madhehebu ya Shia waliandamana mitaani wakifanya maigizo, kuchoma hema ikiwa ni ishara ya kuigiza shida alizozipata Imam Hussein, na kupaza sauti wakiomba. “Kulingana na mazingira ya Wapalestina na Gaza, na matukio yanayofanyika hivi sasa, kuwatetea watu wasiokuwa na hatia ni ujumbe muhimu zaidi unaotakiwa kupelekwa kote,” alisema moja wa waumini Bi Mortazavi. Vita hiyo viligawanya madhehebu ya Shia na Sunni. -Reuters #wairan #iran #kerbala #maadhimisho #muharam #ashura #imamhussein #voa #voaswahili
Ashura: Igizo la vita vya Kerbala na kifo cha Imam Hussein
- - v ››
- 17 Sep 2024 - Iconic shipbuilder Harland and Wolff, famed for constructing the doomed Titanic, said Monday it faced renewed financial difficulties, forcing it to offload non-core assets to preserve its shipyards.
- 16 Sep 2024 - Iranian President Masoud Pezeshkian vowed Monday to use his power to ensure that morality police do not "bother" women, speaking on the second anniversary of Mahsa Amini's death in custody.
- 16 Sep 2024 - Nigerian state oil firm NNPC Ltd on Monday increased the price of petrol by 11%, the second increase in two weeks and a day after it started purchasing the fuel from the giant Dangote oil refinery on the outskirts of Lagos.
- 16 Sep 2024 - President Joe Biden said Monday that the US Secret Service needs more personnel to perform its duties after a second apparent assassination attempt against Republican election candidate Donald Trump.
- 16 Sep 2024 - Police said Monday they would continue holding Pascaline Peter, the woman they arrested last week for allegedly defrauding Kenyans Ksh.350 million in a real estate investment scam, for 30 more days pending further investigations.
- 16 Sep 2024 - Kenya's auditor general has started to examine the country's debt to ascertain the amounts owed to various creditors, Finance Minister John Mbadi told Reuters on Monday.
- 16 Sep 2024 - Ngozi Okonjo-Iweala, the first woman and first African to head the World Trade Organization, will seek a second four-year term when her mandate expires next August, her spokesman said Monday.
- 16 Sep 2024 - Mt Kenya East professionals demand reinstatement of state officials from the region who were sacked.
- 16 Sep 2024 - Ruto appoints committee to review university funding model
- 16 Sep 2024 - Kyiv on Monday denied links to a man accused of trying to assassinate former U.S. President Donald Trump, after it emerged that the suspect was a supporter of Ukraine who had said he wanted to recruit foreign volunteers to fight there.