Moto, milipuko yamulika angani kaskazini Israel Hezbollah iliposhambulia
Majeshi ya Israeli yamefanya mashambulizi ya angani Jumatano kusini mwa Lebanon katika mashambulizi ya hivi karibuni yanayolenga wanamgambo wa Hezbollah wakati kikundi cha Hezbollah cha Lebanon kilipoishambulia Julai 15 kwa makombora ambayo mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel iliyatungua katika mji wa Kiryat Shmona.
Jeshi la Israel lilisema mashambulizi yake yalilenga miundombinu ya Hezbollah, na kwamba majeshi ya Israeli pia yalitumia makombora kujibu vitisho vya Hezbollah katika eneo hilo.
Hezbollah ilifyatua makombora kuelekea Israel, huku jeshi la Israeli likisema limezuia baadhi ya makombora hayo wakati mengine yalianguka katika eneo la wazi bila ya kuleta uharibifu au vifo.
Kiongozi wa Hezbollah Sayyed Hassan Nasrallah alisema wakati akitoa hotuba Jumatano kuwa kikundi cha wanamgambo hao watalenga maeneo mapya ndani ya Israel iwapo majeshi ya Israeli yataendelea kuua raia.
Shambulizi lililofanywa na Israeli Jumanne liliuua raia watano wa Syria huko kusini mwa Lebanon.
Mapigano ya mpakani kati ya Israel na Hezbollah yameongeza wasiwasi kuhusu mgogoro mkubwa zaidi kuzuka katika kanda hiyo huku majeshi ya Israeli yakiwa pia yanapigana na Hamas ndani ya Ukanda wa Gaza.
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin na Waziri wa Ulinzi wa Israeli Yoav Gallant walijadili mapigano yanayo endelea kati ya Israel na Hezbollah wakati wa mazungumzo waliofanya kwa njia ya simu Jumanne, Wizara ya Ulinzi ya Marekani ilieleza.
Msemaji wa Pentagon Major General Pat Ryder alisema katika taarifa yake kuwa mawaziri hao wa ulinzi pia walizungumzia kuhusu kivuko cha muda kilichojengwa na Marekani katika pwani ya Gaza ili kuwezesha misaada ya kibinadamu kuwafikia raia wa Palestina. -AFP, Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #hospitali #nasserhospital #lebanon #hezbollah #wanamgambo
16 Sep 2024
- The lucky punter replicated five different bets.
16 Sep 2024
- Previously, applicants could wait for up to a month for their Identification cards to be ready.
16 Sep 2024
- The government is grappling with financial constraints and the exploding demand for electricity supply.
17 Sep 2024
- Iconic shipbuilder Harland and Wolff, famed for constructing the doomed Titanic, said Monday it faced renewed financial difficulties, forcing it to offload non-core assets to preserve its shipyards.
16 Sep 2024
- Iranian President Masoud Pezeshkian vowed Monday to use his power to ensure that morality police do not "bother" women, speaking on the second anniversary of Mahsa Amini's death in custody.
16 Sep 2024
- Nigerian state oil firm NNPC Ltd on Monday increased the price of petrol by 11%, the second increase in two weeks and a day after it started purchasing the fuel from the giant Dangote oil refinery on the outskirts of Lagos.
16 Sep 2024
- President Joe Biden said Monday that the US Secret Service needs more personnel to perform its duties after a second apparent assassination attempt against Republican election candidate Donald Trump.
16 Sep 2024
- Police said Monday they would continue holding Pascaline Peter, the woman they arrested last week for allegedly defrauding Kenyans Ksh.350 million in a real estate investment scam, for 30 more days pending further investigations.
16 Sep 2024
- Kenya's auditor general has started to examine the country's debt to ascertain the amounts owed to various creditors, Finance Minister John Mbadi told Reuters on Monday.
16 Sep 2024
- Ngozi Okonjo-Iweala, the first woman and first African to head the World Trade Organization, will seek a second four-year term when her mandate expires next August, her spokesman said Monday.
16 Sep 2024
- Mt Kenya East professionals demand reinstatement of state officials from the region who were sacked.
16 Sep 2024
- Ruto appoints committee to review university funding model
16 Sep 2024
- Kyiv on Monday denied links to a man accused of trying to assassinate former U.S. President Donald Trump, after it emerged that the suspect was a supporter of Ukraine who had said he wanted to recruit foreign volunteers to fight there.