- 178 viewsWatu 157 wamefariki Jumatatu katika maporomoko ya ardhi katika eneo la mbali la Kusini mwa Ethiopia, maafisa wa eneo hilo wamesema, wakionya kwamba idadi ya vifo inaweza kuongezeka. “Zaidi ya miili 55 ilipatikana kutokana na maporomoko hayo, taarifa kutoka idara ya masuala ya mawasiliano ya eneo la Gofa ilisema, ikimnuku kiongozi wa eneo hilo Dagmawi Zerihun, ambaye alionya kuwa idadi ya “vifo bado inaweza kuongezeka”. Maporomoko hayo yalitokea saa nne asubuhi majira ya huko kufuatia mvua kubwa katika eneo lenye milima la jimbo la kusini mwa Ethiopia, Dagmawi alisema. Wanawake na watoto ni miongoni mwa waliofariki, alisema, akiongeza kuwa shughuli za kuwatafuta manusura “zimekuwa zikiendelea”. Picha zilizosambazwa kwenye mtandao wa Facebook na chombo cha habari kinachoshirikiana na serikali, Fana Broadcasting Corporate zilionyesha mamia ya watu karibu na eneo la tukio lililoharibika lenye udongo mwekundu ulioporomoka. Eneo la Gofa lipo umbali wa kilomita 450 kutoka mji mkuu Addis Ababa, mwendo wa masaa 10 kwa kutumia gari. Jimbo hilo la kusini mwa Ethiopia limeathiriwa na mvua za muda mfupi za msimu kati ya mwezi Aprili na mapema mwezi Mei ambazo zimesababisha mafuriko na watu wengi kuhama makazi yao, kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya dharura ya kibinadamu (OCHA). - AFP #voa #voaswahili #ethiopia #janga #maporomoko #matope #vifo #uokoaji
Janga la Maporomoko ya Matope Yaua Watu 157
- - "Cult" in Migori ››
- 22 Apr 2025 - Easter holiday turned tragic for a family after their 6-year-old son died in a swimming pool at the Sun and Sand Hotel in Kikambala, Kilifi County.
- 22 Apr 2025 - Even as the more than 1.4 billion Roman Catholics around the world continue to mourn Pope Francis, speculation is building as to who among the 135 red-robed cardinals eligible to vote will succeed him.
- 22 Apr 2025 - The Controller of Budget (CoB) has raised a red flag over a growing financial indiscipline in counties that she says is exposing taxpayers' money to pilferage.
- 22 Apr 2025 - President William Ruto has arrived in China for a four-day State Visit at the invitation of His Excellency President Xi Jinping.
- 22 Apr 2025 - Six people have died overnight in Nairobi following heavy rains. Three of them—a mother and her two children—were killed when a boulder crushed their house in Mathare.
- 22 Apr 2025 - The DCI has taken over the probe into alleged human organ trafficking at Mediheal Hospital’s Fertility and Transplant Centre in Eldoret, Uasin Gishu County.
- 22 Apr 2025 - Four individuals have been charged at the Milimani Law Courts with conspiracy to defraud different businessmen by falsely claiming they could import sugar from Brazil to Kenya.
- 22 Apr 2025 - Defence Cabinet Secretary Soipan Tuya has announced that the Kenyan government is intensifying efforts to dismantle terrorism financing networks as part of a broader strategy to combat extremism in the region.
- 22 Apr 2025 - While admitting the rising cases, he dispelled claims that the move is reactionary.
- 22 Apr 2025 - There was drama at Njegas Health Centre in Karii Village, Mwea-West, Kirinyaga County after three individuals were rushed to the facility unconscious, allegedly after consuming toxic alcohol.