- 113 viewsKatika vijiji vilivyotelekezwa na jamii mbalimbali karibu na mpaka kusini mwa Lebanon, majeshi ya Israeli na wapiganaji wa Hezbollah waliangalia kwa miezi kadhaa, wakihama na kujiweka tayari kwa mapambano wakati wakisubiri kushuhudia vita kamili iwapo vitaanza. Tangu kuanza kwa vita vya Gaza Oktoba mwaka jana, pande hizo mbili zimekuwa zikurushiana wimbi la makombora, roketi, mizinga na mashambulizi ya anga katika mivutano ambayo haijapelekea vita kamili. Maelfu ya watu wamehamishwa kutoka pande zote mbili za mpaka na matumaini kwamba watoto wataweza kurejea kuanza masomo katika mwaka mpya wa masomo ifikapo Septemba inaelekea umekwama kufuatia tangazo la Waziri wa Elimu wa Israel Yoav Kisch Jumanne kuwa hali hivi sasa ilivyo haitaruhusu hilo kufanyika. “Vita inaelekea viko vile vile kwa miezi tisa iliyopita,” Luteni Kanali Dotan, Afisa wa Israeli, ambaye aliweza kutambuliwa kwa jina lake la kwanza. “Tunasiku nzuri za kuishambulia Hezbollah na siku mbaya ambazo wanatushambulia. Ni kama tunalingana kwa hilo, mwaka mzima, miezi yote tisa.” - Reuters #majeshi #israeli #wapiganaji #hezbollah #vita #voa #voaswahili #benjaminnetanyahu #golanheights
Israel na Hezbollah wakijiweka tayari kwa vita kamili iwapo itaanza
- 22 Apr 2025 - Easter holiday turned tragic for a family after their 6-year-old son died in a swimming pool at the Sun and Sand Hotel in Kikambala, Kilifi County.
- 22 Apr 2025 - Even as the more than 1.4 billion Roman Catholics around the world continue to mourn Pope Francis, speculation is building as to who among the 135 red-robed cardinals eligible to vote will succeed him.
- 22 Apr 2025 - The Controller of Budget (CoB) has raised a red flag over a growing financial indiscipline in counties that she says is exposing taxpayers' money to pilferage.
- 22 Apr 2025 - President William Ruto has arrived in China for a four-day State Visit at the invitation of His Excellency President Xi Jinping.
- 22 Apr 2025 - Six people have died overnight in Nairobi following heavy rains. Three of them—a mother and her two children—were killed when a boulder crushed their house in Mathare.
- 22 Apr 2025 - The DCI has taken over the probe into alleged human organ trafficking at Mediheal Hospital’s Fertility and Transplant Centre in Eldoret, Uasin Gishu County.
- 22 Apr 2025 - Four individuals have been charged at the Milimani Law Courts with conspiracy to defraud different businessmen by falsely claiming they could import sugar from Brazil to Kenya.
- 22 Apr 2025 - Defence Cabinet Secretary Soipan Tuya has announced that the Kenyan government is intensifying efforts to dismantle terrorism financing networks as part of a broader strategy to combat extremism in the region.
- 22 Apr 2025 - While admitting the rising cases, he dispelled claims that the move is reactionary.
- 22 Apr 2025 - There was drama at Njegas Health Centre in Karii Village, Mwea-West, Kirinyaga County after three individuals were rushed to the facility unconscious, allegedly after consuming toxic alcohol.