- 490 views
Wafuasi wa chama cha UDA katika kaunti ya Busia wamefanya maandamano ya amani kushinikiza Rais William Ruto kuzingatia kumrejesha aliyekuwa waziri wa michezo Ababu Namwamba katika Baraza la mawaziri. Wakazi hao waliojawa na ghadhabu walichoma nguo zao za UDA wakiashiria hasira zao wakisema kuwa kutorejeshwa kwa Ababu katika wizara ya michezo kutamaliza umaarufu wa UDA katika kaunti ya Busia. Wamesema kuwa Ababu alikuwa ameimarisha sekta hiyo vijana na wanamichezo wakifaidika.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wafuasi wa chama cha UDA, Busia waaandamano kushinikiza Rais kumrejesha waziri Ababu Namwamba
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Thursday he had intelligence reports that North Korea was training 10,000 soldiers to support Russia in its fight against Kyiv.
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - Malala, the former UDA Sec Gen was himself removed after being accused of being a Gachagua man.
- 18 Oct 2024 - This came after the Senate's resolution to impeach the former deputy president.
- 18 Oct 2024 - Investigators are piecing together Payne's last moments and examining the potential involvement of third parties.
- 18 Oct 2024 - "Fame at such a young age is a very, very difficult thing."
- 18 Oct 2024 - Kibra's Gen Z game-changer using her voice to challenge cultural stereotypes and empower her community
- 18 Oct 2024 - The mastermind of the October 7, 2023 attack that triggered the Gaza war, was killed on Thursday, Israeli said
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?