- 2,131 views
Huenda hatua ya Rais William Ruto kutomteua aliyekuwa waziri wa jinsia aisha jumwa, kwenye baraza lake jipya la mawaziri ikaathiri pakubwa umaarufu wa chama cha uda katika kaunti ya kilifi. baadhi ya wanachama wa uda huko Kilifi, sasa wanahisi kwamba ruto ameenda kinyume na matarajio yao ya jumwa kujumuishwa kikamilifu kwenye nafasi kuu za uongozi wa serikali ya kenya kwanza licha ya kuwa mstari wa mbele kupeperusha bendera ya uda kaunti hiyo. kama anavyotueleza mwanahabari wetu wa mombasa fatuma bugu , wamekiri kuwa hakuna uda Kilifi bila Aisha Jumwa katika baraza jipya la mawaziri .
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Viongozi wa UDA wamkosoa Rais Ruto kwa kumtenga Aisha Jumwa kutoka kwa baraza jipya la mawaziri
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Thursday he had intelligence reports that North Korea was training 10,000 soldiers to support Russia in its fight against Kyiv.
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - Malala, the former UDA Sec Gen was himself removed after being accused of being a Gachagua man.
- 18 Oct 2024 - This came after the Senate's resolution to impeach the former deputy president.
- 18 Oct 2024 - Investigators are piecing together Payne's last moments and examining the potential involvement of third parties.
- 18 Oct 2024 - "Fame at such a young age is a very, very difficult thing."
- 18 Oct 2024 - Kibra's Gen Z game-changer using her voice to challenge cultural stereotypes and empower her community
- 18 Oct 2024 - The mastermind of the October 7, 2023 attack that triggered the Gaza war, was killed on Thursday, Israeli said
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?