Al-Jazeera: Mwandishi na mpiga picha wauwawa katika shambulizi la Israel
Kituo cha televisheni cha Qatar Al Jazeera kimesema Jumatano (Julai 31) kuwa mwandishi wake Ismail al-Ghoul na mpiga picha Ramy El Rify waliuwawa katika shambulizi lililofanywa na Israel mjini Gaza City.
Anas Al-Sharif, rafiki wa waandishi wawili waliofariki, aliiambia Al-Jazeera kuwa Ghoul na Rifi walikuwa wako kazini wakipiga picha karibu na nyumba ya Ismail Haniyeh, kamanda wa Hamas aliyeuwawa Iran mapema Jumatano katika shambulizi ambalo kikundi hicho cha Hamas kinailaumu Israel.
Ofisi ya habari ya serikali ya Gaza inayoendeshwa na Hamas ilisema vifo vipya hivyo vimeongeza idadi ya waandishi wa habari waliouwawa katika mashambulzii ya Israeli kufikia 165 tangu vita kuanza Oktoba 7.
Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #hospitali #nasserhospital #unrwa #nuseirat #mwandishi #aljazeera
22 Apr 2025
- It is now uncertain whether the US will heed its initial promise of funding the mission to the end.
22 Apr 2025
- The issue has been especially thorny after calls for one-man-one-shilling re-emerged last year.
22 Apr 2025
- The governor was critical of the president after Ruto's statement on Sunday.
22 Apr 2025
- Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
22 Apr 2025
- Kariobangi North Member of County Assembly Joel Munuve has passed away.
22 Apr 2025
- Harvard University sued on Monday to block U.S. President Donald Trump from freezing billions of dollars in federal funding after the elite research institution rejected a list of White House demands that it said would undermine its independence.
22 Apr 2025
- The National Assembly Health Committee has set up an inquiry committee to probe the kidney transplant scandal at Mediheal Hospital in Eldoret.
22 Apr 2025
- Security officers have rescued 57 indisposed persons who have been seeking healing at the controversial Melkio Joseph Mission Messiah church in Rongo, Siaya County and halted prayer activities at the church.
22 Apr 2025
- The movement raises public awareness on Trumpian policies, both domestic and foreign.
22 Apr 2025
- Pope Francis' funeral will be held on Saturday in St. Peter's Square, Roman Catholic cardinals decided on Tuesday, setting the stage for a solemn ceremony that will draw leaders from around the world.
22 Apr 2025
- It is now uncertain whether the US will heed its initial promise of funding the mission to the end.
22 Apr 2025
- Two Kenyans and a Somali national facing terror-related charges will remain in custody for a month after a Nairobi court denied them bond on Tuesday.
22 Apr 2025
- The nurses and midwives have been on a strike since February 28, 2025.