- 1,815 viewsGavana wa Kaunti ya Kisumu, Kenya, amejitokeza kulaani utekaji uliofanyika. Amesema wazi kuwa serikali ya kaunti haikuhusishwa. Hayo yameelezwa na Meya wa Mji wa Kampala,Elias Lukwago ambaye anasema gavana huyo pia anataka maelezo kamili kujua kwa nini wanajeshi wa Uganda waliivamia Kisumu na kuwakamata "wenzetu 33." Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa, Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza. "Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza. Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja. #uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
Wanajeshi
- - Duniani Leo ››
- 15 Mar 2025 - Kenya will lose up to Ksh52 billion in funding, according to CS Mbadi.
- 15 Mar 2025 - "Abdallah Makki Muslih al-Rifa "was considered one of the most dangerous terrorists in Iraq and the world".
- 15 Mar 2025 - These events have raised questions about the safety and planning of high-profile political engagements by the president.
- 15 Mar 2025 - The two were arrested in the wake of their con job that defrauded a Kenyan of millions.
- 15 Mar 2025 - Mudavadi addressed Kenya's stance on global conflicts.
- 15 Mar 2025 - President William Ruto’s recent political realignment with former Prime Minister Raila Odinga has triggered a major realignment in Mt Kenya’s leadership within the National Assembly. Several key leaders, perceived to been aligned to former Deputy…
- 15 Mar 2025 - A new report reveals that the cash-strapped institutions owe suppliers and contractors Sh67.81 billion.
- 15 Mar 2025 - The two suspects are currently in police custody as they await their court appearance.
- 15 Mar 2025 - "Preliminary findings show the driver lost control of the vehicle before the crash, trapping the passengers on board."
- 15 Mar 2025 - The legislator was purportedly handed an assignment that came with the promise of a huge reward.