Washukiwa 51 wanaohusishwa na ghasia jimbo la Plateau wakamatwa
Polisi nchini Nigeria katika jimbo la Plateau, Nigeria waliwapanga mstari washukiwa 51 kati yao watoto wanaotuhumiwa kusababisha ghasia wakati wa maandamano ya hivi karibuni yaliyofanyika katika majimbo kadhaa hususan upande wa kaskazini mwa nchi.
Vijana wengi walimiminika mitaani wiki iliyopita Alhamisi katika miji mikubwa kupinga hali ngumu ya uchumi na ukosefu wa usalama.
Serikali ilisema maandamano katika majimbo mengi ikiwemo la Plateau yalitekwa nyara na kile vyombo vya usalama walichokielezea ni magenge ya wahuni ambao wanadaiwa kuiba na kuharibu mali za serikali na watu binafsi.
Baadhi ya washukiwa waliokamatwa na kufikishwa Mahakama Kuu ya jimbo wanakabiliwa na mashtaka yanayo husiana na kupeperusha bendera za Russia wakati wa maandamano.
“Ninatoa onyo kali kwa wale wote wanaofanya ghasia na maadui wa jimbo tafadhali waondoke na kuliacha jimbo la Plateau.”
Msemaji wa Kituo cha Polisi Jimbo la Plateau, Naibu Mkuu wa Polisi, Alfred Alabo aliiambia VOA.
Shirika la Amnesty International limeishutumu mamlaka kwa kutumia nguvu na hata risasi za moto kuvunja maandamano yaliyopangwa kumalizika Jumamosi.
#nigeria #russia #tinubu #voa
24 Oct 2024
- On Wednesday, US Ambassador to Kenya Meg Whitman made a telling visit.
23 Oct 2024
- The shilling has retained its stability against the US dollar despite recent developments in the country.
23 Oct 2024
- Gachagua was dealt another blow on Wednesday.
24 Oct 2024
- A shootout near the capital of Mexico's Sinaloa state killed 19 suspected gang members, while one local cartel leader was arrested, Mexico's defense ministry said on Tuesday, as intra-cartel violence intensifies.
24 Oct 2024
- As Namibia prepares to hold a general election next month, the country's main opposition party has objected to the South African company hired to print the ballots.
24 Oct 2024
- The United States said for the first time on Wednesday that it had seen evidence of North Korean troops in Russia, and South Korean lawmakers said about 3,000 soldiers had been sent to support the Kremlin's war in Ukraine with more to follow.
24 Oct 2024
- On Wednesday, US Ambassador to Kenya Meg Whitman made a telling visit.
24 Oct 2024
- Two suspects arrested in connection with the brutal murder of 26-year-old Mercy Rufani will be arraigned in court today. Joseph Ngera Kamau and Fred Mathenge Kanja, both Kenya Army officers based in Embakasi, were the last known individuals to have been…
24 Oct 2024
- Nigerian President Bola Tinubu reshuffles his 45-member cabinet, naming seven new members and sacking five.
24 Oct 2024
- IMF warns of crisis if no action is taken to create jobs for Gen Z
24 Oct 2024
- Kindiki, Wandayi in a spot for snubbing Senate
24 Oct 2024
- Moi University fights for survival amid calls for urgent overhaul
24 Oct 2024
- Career civil servants in DP's office finally allowed to work