Vijana watakiwa kuchukua fursa za uchumi wa baharini

  • | Citizen TV
    125 views

    Katibu katika Idara ya Uwekezaji katiwa wizara ya madini na uchumi wa baharini, Abubakar Hassan, amehimiza vijana na wavuvi kuchunguza fursa nyingi za kazi zilizopo katika sekta ya uchumi wa bahari, hasa katika uvuvi na uuzaji wa samaki wa mapambo.