- 830 views
Mawakili wa gavana wa meru kawira mwangaza wamekanusha madai dhidi ya mteja wao yaliowasilishwa na bunge la kaunti hiyo kama vigezo vya kumtimua mamlakani. bunge la seneti linaendelea na kikao cha kujadili hoja ya kumtimua gavana wa meru kawira mwangaza. wawakilishi wadi 49 walipiga kura ya kumundoa mwangaza mamlakani huku 17 wakipinga hoja hiyo. kwa mujibu wa naibu kiongozi wa wengi wa bunge hilo aliyewasilisha hoja hiyo Zipporah Kinya, mwangaza anatuhumiwa kwa kukiuka katiba, na kutumia vibaya ofisi yake miongoni mwa masuala mengine. Ikumbukwe kwamba, hii ni mara ya tatu kwa bunge la meru kumtimua gavana mwangaza. Mwangaza atajitetea kabla ya maseneta waliochaguliwa kutoa uamuzi wao kwa kupiga kura
Bunge la seneti lajadili hoja ya kumuondoa gavana wa Meru Kawira Mwangaza
- 25 Oct 2024 - The University of Eldoret has announced the nomination of Triple Olympic Champion Faith Kipyegon for an Honorary Doctorate in Education, recognizing her extraordinary contributions to athletics and her inspiring journey as a world-class track runner.
- 25 Oct 2024 - The National Bank of Kenya reportedly possesses the title deeds for the Jeevanjee and Pangani affordable housing projects as part of a Ksh.1.9 billion loan facility.
- 25 Oct 2024 - Hezbollah is seeking to quickly boost sales of illegal drugs in Europe, former U.S. officials tell VOA, as the Iran-backed Lebanese militia reels from a weekslong Israeli offensive that has destroyed and disrupted its key sources of cash in Lebanon.
- 25 Oct 2024 - The leaders of the Commonwealth grouping of nations met on Thursday ahead of a summit in the South Pacific nation of Samoa that will feature talks on climate change and the question of reparations for Britain's role in transatlantic slavery.
- 25 Oct 2024 - Nigeria's decision this week to block Shell's $2.4 billion (Ksh.309.6 billion) sale of its onshore assets has sent a negative signal to investors the country urgently needs to strengthen its all-important oil sector, analysts said.
- 25 Oct 2024 - The CS urged Kenyans to apply for the opportunities with interviews scheduled for the mentioned dates.
- 25 Oct 2024 - Tropical Storm Trami has killed at least 26 people and forced more than 150,000 to flee their homes in the Philippines, officials said on Thursday, as it made landfall on the northeastern coast.
- 25 Oct 2024 - Environment CS Aden Duale has vowed that the govt will be strict.
- 25 Oct 2024 - The African Development Bank (AfDB) and the United Nations Environment Program (UNEP) are partnering to establish an Africa Biodiversity Finance Platform. This initiative aims to support African countries in accessing natural capital and biodiversity…
- 25 Oct 2024 - A three-judge bench hearing the case challenging the impeachment of Rigathi Gachagua is today expected to rule on whether to grant or dismiss Gachagua’s application requesting the judges to disqualify themselves from the case. Gachagua’s lawyers argue…