- 416 viewsQaid Farhan Alkadi, mateka wa Israeli ambaye hivi karibuni aliokolewa alipokuwa akishikiliwa na Hamas huko Gaza, alipokelewa kwa furaha katika Kituo cha Afya cha Soroka mjini Beersheba (Agosti 28). Kanda ya video iliyochukuliwa kutoka kituo hicho cha afya inaonyesha Alkadi akiwa amezungukwa na wanafamilia na maafisa wa jeshi, akitembea kutoka hospitalini. Tafrija hiyo iliendelea karibu na Rahat, Israel, ambako Alkadi alionekana akiwa amekaa ndani ya hema katika kijiji ambako yako makazi yake Ubeduini. When asked about his feelings post-rescue, Alkadi, speaking in Hebrew, Alipoulizwa ulizwa kuhusu hisia zake baada ya kuokolewa, Alkadi, akizungumza kwa lugha ya kiebrania alisema ni faraja kubwa na kutaka hatua zichukuliwe kuwarejesha wale ambao bado wanashikiliwa. #gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina
Mateka wa Israeli aliyeokolewa alakiwa na ndugu, marafiki akitoka hospitali
- - Duniani Leo ››
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
- 22 Apr 2025 - Pope Francis touched down at the Jomo Kenyatta International Airport, minutes after 4 p.m. on the 25th of November, 2015, to a warm reception by the then President Uhuru Kenyatta.
- 22 Apr 2025 - Climate Scientists at the Igad Climate Predictions and Applications Center (ICPAC) are predicting that more than usual rainfall expected over most parts of Tanzania, Burundi, Rwanda, eastern Kenya, northern South Sudan and southern Sudan. “Moderate…
- 22 Apr 2025 - MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS
- 22 Apr 2025 - Tanzania firm presses on with Kilifi gas plant amid safety fears
- 22 Apr 2025 - Kenya Chipu aim to defend Barthes Trophy after perfect start
- 22 Apr 2025 - People's Pope signs off, leaving behind a church changed forever