- 47 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Mwanamuziki Damian Soul aeleza juu ya nyimbo yake mpya na tamasha la muziki New York | VOA Swahili
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 14 Mar 2025 - Namibia has confirmed the first case of cholera in ten years, the Africa Centres for Disease Control and Prevention said on Thursday, adding that laboratory confirmation of the disease was "a major alert" for the country's health officials.
- 14 Mar 2025 - Police in Ruiru, Kiambu County, have arrested a Super Metro matatu driver following the death of a passenger who was allegedly thrown off the moving vehicle.
- 13 Mar 2025 - The search for answers and closure has been an agonizing journey for the hundreds of families who lost loved ones in the country's worst religious-inspired massacre at Shakahola.
- 13 Mar 2025 - ODM party Secretary General Edwin Sifuna is among a host of African leaders of opposition parties who were on Thursday denied entry into Angola.
- 13 Mar 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched a probe into allegations of bribery against Thika Law Courts Chief Magistrate Stellah Atambo.
- - US judge orders Trump administration to reinstate thousands of fired workers
- 13 Mar 2025 - The accident occurred near Adams Arcade as the presidential convoy was traveling from Lang’ata toward Kibra. Witnesses said the middle-aged white man was attempting to cross the road when he was struck by a speeding government vehicle. The driver…
- 13 Mar 2025 - Among those affected were a First Vice President from Tanzania, a former President of Botswana, a former Prime Minister of Lesotho, and delegates from Kenya, Sudan, South Africa, Namibia, Eswatini, Germany, the USA, Uganda, the Democratic Republic of…
- 13 Mar 2025 - Women entrepreneurs and industry leaders must navigate systemic barriers beyond financial constraints: access to markets, mentorship, policy implementation, and the deep-rooted cultural biases that still dictate who gets a seat at the table.
- » Gov't targets prisoners, border counties, students in new ID registration drive for health insurance access13 Mar 2025 - The government has announced a new national ID registration drive targeting marginalized groups, including communities living along national borders, prisoners, and high school students.