Kijana alia baada ya kubusu mkono wa Papa Francis
Kijana wa Kiindonesia alikumbatiwa na Papa Francis. Kijana huyo alilia wakati wa ziara ya papa alipokuwa akihudhuria mkutano wa muungano wa kidini na kukutana na wanufaika kutoka taasisi za hisani huko Jakarta Alhamisi (September 5).
Papa ambaye anasumbuliwa na maumivu ya magoti na mgongo, alikuwa katika kiti cha magurudumu akiingia katika ukumbi huku akiwasalimia watu. Wakati kijana huyo alipoinama kubusu mkono wa Papa, alianza kulia na Francis alikivuta kichwa cha kijana huyo karibu naye kifuani na kumkumbatia.
Papa Francis Alhamisi alitoa wito kwa Waislam na Wakristo kushinikiza viongozi wa dunia kukabiliana na hatari za mabadiliko ya hali ya hewa na misimamo mikali ya kiitikadi, na kueleza chimbuko la pamoja la imani za dini mbalimbali alipokuwa akifanya ziara katika msikiti mkubwa zaidi huko Southeast Asia huko Jakarta.
Papa yuko katika ziara ya Indonesia hadi Ijumaa (Septemba 6), ikiwa ni sehemu ya safari yake ya siku 12 katika nchi nne kwenye eneo la Southeast Asia na Oceania. - Reuters
#papafrancis #indonesia #jakarta #uislam #ukristo #ukatoliki #haliyahewa #viongozi #dunia
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
22 Apr 2025
- The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
22 Apr 2025
- Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
22 Apr 2025
- Pope Francis touched down at the Jomo Kenyatta International Airport, minutes after 4 p.m. on the 25th of November, 2015, to a warm reception by the then President Uhuru Kenyatta.
22 Apr 2025
- Climate Scientists at the Igad Climate Predictions and Applications Center (ICPAC) are predicting that more than usual rainfall expected over most parts of Tanzania, Burundi, Rwanda, eastern Kenya, northern South Sudan and southern Sudan. “Moderate…
22 Apr 2025
- MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS
22 Apr 2025
- Tanzania firm presses on with Kilifi gas plant amid safety fears
22 Apr 2025
- Kenya Chipu aim to defend Barthes Trophy after perfect start
22 Apr 2025
- People's Pope signs off, leaving behind a church changed forever