Burkina Faso yashuhudia mashambulizi ya kigaidi baada ya Wagner kuondoka
Burkina Faso yashuhudia mashambulizi ya kigaidi baada ya Wagner kuondoka
Mamluki wa Russia walioajiriwa kutoa ulinzi nchini Burkina Faso walianza kuondoka nchini humo mwishoni mwa mwezi Agosti wakisema kwamba wanapinga uvamizi wa hivi karibuni wa Ukraine nchini Russia.
Takwimu zinaonyesha mamluki hao wamekuwa na mafanikio madogo katika vita vya Sahel dhidi ya makundi ya kigaidi ya Kiislamu. Mwandishi wa VOA, Henry Wilkins anaripoti, kuwa Burkina Faso ilishuhudia moja ya mashambulizi mabaya sana ya wanamgambo katika miaka ya hivi karibuni katika wiki ambayo mamluki wa Russia waliondoka. Mkamiti Kibayasi anaisoma ripoti kamili.
#russia #wagner #mamluki #burkinafaso #magaidi #wanamgambo #sahel #voa #voaswahili
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
22 Apr 2025
- Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
22 Apr 2025
- Pope Francis touched down at the Jomo Kenyatta International Airport, minutes after 4 p.m. on the 25th of November, 2015, to a warm reception by the then President Uhuru Kenyatta.
22 Apr 2025
- Climate Scientists at the Igad Climate Predictions and Applications Center (ICPAC) are predicting that more than usual rainfall expected over most parts of Tanzania, Burundi, Rwanda, eastern Kenya, northern South Sudan and southern Sudan. “Moderate…
22 Apr 2025
- Youths dare dream as Nyanza's Junior Golf tourney highlights growth
22 Apr 2025
- Tusker surge ahead of Police and Gor Mahia as title race heats up
22 Apr 2025
- Goodbye Pope: Pontiff hailed as moral icon and voice of the voiceless
22 Apr 2025
- Infantino mourns Pope Francis, celebrates his football legacy
22 Apr 2025
- MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS