- 646 viewsMakamu wa Rais wa Marekani Mdemocrat Kamala Harris na Rais wa zamani Mrepublikan Donald Trump walikuwa hawajawahi kukutana mpaka usiku wa Jumanne katika mdahalo wao wa urais, lakini mara moja walianza kulumbana katika ushindani muhimu kuelekea katika uchaguzi wa Novemba 5. Wagombea hao wawili walisalimiana kabla ya kuanza mdahalo, kila mmoja akaelekea kwenye sehemu yake jukwaani katika National Constitution Center huko Philadelphia na kuanza kulumbana. Walibishana kuhusu uchumi wa Marekani, haki ya kutoa mimba kwa wanawake wa Marekani, uhamiaji katika mpaka wa Marekani na Mexico, vita vya Israel na Hamas huko Gaza, uvamizi wa Russia nchini Ukraine, na ghasia katika Bunge la Marekani Januari 6, 2021, wakati Congress ikiidhinisha Bunge likirasmisha matokeo ya uchaguzi 2020 ambao Trump alishindwa. Akieleza kushindwa kwa Trump uchaguzi wa 2020 ambapo Rais Joe Biden alishinda, Harris alisema, “Donald Trump alifukuzwa kazi na watu milioni 81. Ana wakati mgumu kulikubali hilo. Trump hivi karibuni alisema alishindwa katika uchaguzi “kwa kura chache,” lakini katika jukwaa la mdahalo Jumanne, alisema alikuwa anafanya kejeli na kukataa kukubali uhalali wa matokeo ya uchaguzi wa 2020. #harris #trump #debate #uselections #voa
Harris, Trump waanza malumbano mwanzo kabisa wa mdahalo wao
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Pope Francis touched down at the Jomo Kenyatta International Airport, minutes after 4 p.m. on the 25th of November, 2015, to a warm reception by the then President Uhuru Kenyatta.
- 22 Apr 2025 - Climate Scientists at the Igad Climate Predictions and Applications Center (ICPAC) are predicting that more than usual rainfall expected over most parts of Tanzania, Burundi, Rwanda, eastern Kenya, northern South Sudan and southern Sudan. “Moderate…
- 22 Apr 2025 - Role of Commissioner for Cooperatives questioned in Kuscco Sh13b saga
- 22 Apr 2025 - The inconvenient truth about devolution, the environment
- 22 Apr 2025 - Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance
- 22 Apr 2025 - Goodbye Pope: Pontiff hailed as moral icon and voice of the voiceless
- 22 Apr 2025 - Ruto takes Kenya's wishlist to Beijing as trade winds shift
- 22 Apr 2025 - MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS