WAHAMIAJI NANE WAFARIKI WAKIJARIBU KUELEKEA UINGEREZA
Wahamiaji nane wamekufa Jumapili wakati boti yao iliyokuwa imejaa watu zaidi ya uwezo wake kuzama ikijaribu kuvuka bahari ya English Channel kutoka Ufaransa kuelekea Uingereza maafisa wa usalama wa Ufaransa wamesema. Ajali hii imetokea chini ya wiki mbili baada ya maafa mabaya zaidi kama hayo kutokea mwaka huu.
Tukio hilo baya linamaanisha idadi ya waliofariki kutaka kuelekea Uingereza kutoka Ufaransa imeongezeka kufikia wahamiaji 46 kutoka 12 waliofariki mwaka 2023, ambao wamepoteza maisha yao wakijaribu kuingia Uingereza kutoka Ufaransa, afisa wa jimbo amesema.
Serikali za Ufaransa na Uingereza zimepambana kwa miaka kadhaa kusitisha wimbi la wahamiaji ambao wanalipa wasafirishaji haramu maelfu ya Euro kila mtu kwa ajili ya kuvuka kwa boti zilizojaa watu kupita kiasi. Watu sita walionusurika wamelazwa hospitali akiwemo mtoto wa miezi 10 mwenye matatizo ya afya kutokana na baridi kali. - AFP
#wahamiaji #uingereza #englishchannel #bahari #ufaransa #ajali #boti #voa #voaswahili
19 Sep 2024
- Collins Kibet was arrested on Thursday over a child support case filed against him.
19 Sep 2024
- In their petition, LSK told the court that the decision by the Ministry of Education and the Ministry of Health was illegal since SHIF had been declared unconstitutional.
19 Sep 2024
- Cheruiyot maintained that the allegations were malicious and meant to taint his name.
19 Sep 2024
- A family in Itunduimuni, Machakos County is seeking justice after their kin was abducted by armed militia in the Eastern Democratic Republic of Congo.
19 Sep 2024
- Former President Daniel Moi's grandson Collins Kibet has been sentenced to 7 days in jail for contempt by a Nakuru court in a child support case filed against him.
19 Sep 2024
- President William Ruto has urged newly installed Inspector General Douglas Kanja to protect the independence of the National Police Service (NPS) from any interference by external forces.
19 Sep 2024
- Collins Moi, the grandson of late former President Daniel Moi, was arraigned in court on Thursday following his arrest in Ongata Rongai, Kajiado County, on Wednesday.
19 Sep 2024
- Nyandarua MCAs have thrown their weight in support for DP Rigathi Gachagua, dismissing attempts to position Interior Cabinet Secretary Prof. Kithure Kindiki as the new leader of the Mt. Kenya region.
19 Sep 2024
- Collins Kibet was arrested on Thursday over a child support case filed against him.
19 Sep 2024
- In their petition, LSK told the court that the decision by the Ministry of Education and the Ministry of Health was illegal since SHIF had been declared unconstitutional.
19 Sep 2024
- Kenya’s decision was curious as peers in the region, including Uganda, Tanzania, Djibouti, Burundi and Mauritius voted for the resolution.
19 Sep 2024
- Cheruiyot maintained that the allegations were malicious and meant to taint his name.
19 Sep 2024
- The accused, however, denied the charges